Jeshi lijitathimini kuhusu uadilifu na uaminifu wake kwa Watanzania wote

Sure, kuna watu wanawatetea bila kujua undani wa hilo jambo!

Hoja zao ni kwamba sijui wamefundishwa kutumia silaha so watajiingiza kwenye uhalifu!
Jeshini sio shuleni kule ni kazi moja.
 
Acha wenge la JPM, kumbuka yeye ndo kachelewesha ajira au kuzuia ajira za vijana wengi wa JKT waliokuwa wanajiliwa katika majeshi yetu. Yeye kutambua tu wale waliojenga uzio among many others ni ubaguzi, pili mtoa kibali cha kuajili ni ikulu ambaye alikuwa yeye kama kweli alikuwa na niya ya kuwaajili kwnn hakufanya hivyo tangu alipotoa tamuko miezi 8 imepita. Matamuko mengine yalikuwa siasa na kutaguta cheap popularity.
 
Umesema mwenyewe hapo kuwa hao wa awali kuna njia walitumia wakarejeshwa. Sasa hawa wanaleta migomo jeshini. Hawafai waasi hao
 
Umesema mwenyewe hapo kuwa hao wa awali kuna njia walitumia wakarejeshwa. Sasa hawa wanaleta migomo jeshini. Hawafai waasi hao
Hata hawa kuna sehemu walikanyaga waya vibaya. Ndomaana walikua 2400 ila waliofukuzwa ni 854 pekeyake

Hahahaaa halafu hawa walifurahisha sana kulazimisha kwenda kihangaiko na wakaletewa magari kweli wakapanda kwenda kule

Hawakujua......hawakujua😂😂
 
JPM is dead. live with it man. hakunaga orders za rais alifariki. once he is gone he is gone.
Labda mama samia aje atilie mkazo.

lakin hao vijana walikuwa kubadilishiwa eneo la kazi isingetakiwa kuwa nongwa.
wasingegoma.. ila wangetumia utaratib qa kijeshi kufikisha malalamiko yao.
na utaratib uko fair kabisa.
 
Uko kihisia zaidi mzee, wale wamepewa ahadi ya moja kwa moja wakikamilisha mission waajiriwe Jeshini direct sasa labda ndo moja ya maasi kwa Mwendazake
jeshi aliendeshwi kwa ahadi. hapa late pres jpm alikosea sana sana.
kuna utaratib wa kuajiriwa
 
Ushauru mzuri.
 
Tatizo deep kabisa ni ukosefu wa ajira
Why mtu ulilie kuajiriwa jeshini?

Au serikalini?

Uchumi Una tatizo kubwa.
 
Shida ni utovu wa nidhamu

Kama ni kweli Mkuu wa JKT alienda "kuwaomba" wasitishe mgomo na bado wakakataa, hawafai kuwa wanajeshi, hata kama walijaza maji kwenye ziwa Victoria.
 
Ni wachache sana watakuelewa mkuu lakini nina uhakika hata hao waliotimuliwa wanajua kosa lao lilipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…