Nawatakia kila la kheri nyombo vya ulinzi na usalama nchini kwa uimara, bidii na weledi katika kudhibiti uharibifu, uporaji na uhalifu mathalani wa mapanyarodi, nyumbu na maandamanaji haramu 🐒
Wanainchi wengi hususani mimi mwenyewe nawapongeza sana kwa ubunifu mlokuja nao. Suala la usafi wa mazingira jijini Dar es Salaam ni muhimu sana hususani kipindi hiki hatarishi kwa mlipuko wa kipindupindu....
Yeyote atakae jitokeze kuchafua mliposafisha huyo ni takataka tembeeni nae bila mbambamba mwendo wa ngiri, ili iwe fundisho kwa wakaidi na wachafua mazingira wengine....
Tunategemea Amani na utulivu wa kiwango cha lami January 23 na 24...🐒
Mungu Ibariki Tanzania..