Jeshi, Polisi na Usalama msijihusishe na siasa na kuanza kupendelea vyama kwasababu inaelekea wananchi wengi sio washabiki wa vyama bali ni wapenda haki.
Vitendo vya watu kuona waziwazi wanaiba kura zao mnajenga uadui ambao utakuwa mbaya kuutoa.
Ushauri ni kwamba kuweni upande wa haki. Fanyeni usalama kwa kujali haki na sio kukandamiza watu.
Bila hivyo itafika sehemu hata hao wanao watuma hawatawaheshimu kama wananchi wengi hawako nyuma yenu.
Nyie mnatakiwa kuwa watu wa kupendwa si kuchukiwa.
Mkiwabana watu kupata haki kihalali watatafuta haki kinyemela kama Congo na sehemu za hivyo
Vitendo vya watu kuona waziwazi wanaiba kura zao mnajenga uadui ambao utakuwa mbaya kuutoa.
Ushauri ni kwamba kuweni upande wa haki. Fanyeni usalama kwa kujali haki na sio kukandamiza watu.
Bila hivyo itafika sehemu hata hao wanao watuma hawatawaheshimu kama wananchi wengi hawako nyuma yenu.
Nyie mnatakiwa kuwa watu wa kupendwa si kuchukiwa.
Mkiwabana watu kupata haki kihalali watatafuta haki kinyemela kama Congo na sehemu za hivyo