Jessam Nyato ateuliwa kuwa waziri mkuu wa serikali ya chuo kikuu cha sayansi na tiba cha mt. Fransis

Status
Not open for further replies.
kipo mkoa gani hicho chuo na kipo wilaya gani mkuu update pleas hila hongeera rais wenu kwa maamuzi magumu na makini
Kipo ifakara morogoro mkuu ni tawi la sauti
 
Kwa hiyo unataka nisomeje unanishauri kusoma unajua nmefikaje nilipo ww? mitihan yote ninayo fanya umenifaulisha ww? Toa uchovu apaa, na Usikurupuke kama mada haikuhusu sepaa,



umefika kwa division three ya kuokoteza na ndio maana unasoma chuo pori ifakara!!!
 
Kwa hiyo unataka nisomeje unanishauri kusoma unajua nmefikaje nilipo ww? mitihan yote ninayo fanya umenifaulisha ww? Toa uchovu apaa, na Usikurupuke kama mada haikuhusu sepaa,
nadhani ingekuwa busara zaidi ungekuwa unajibu kwa upole na unyenyekevu
 
umefika kwa division three ya kuokoteza na ndio maana unasoma chuo pori ifakara!!!
Kwa hiyo wenye div. Three kwa akili zako wamefel? Unajua pass mark za chuo adi uchaguliwe umepassijee? Au unatumia pua kufikir
 
hii ndiyo website watu msiwe mnabisha bila kujibidisha kufanya kauchunguzi
Academic Staff

 
Sasa utaletaje habari ya kichuo ambacho 99.999% hatukijui? kabandike upuuzi huu kwenye mbao za matangazo ya sekondari yenu
 
Sasa utaletaje habari ya kichuo ambacho 99.999% hatukijui? kabandike upuuzi huu kwenye mbao za matangazo ya sekondari yenu

Ww nawehamnazo! Kweli nani kakwambiahumu zinaletwa habar za vyuo vinavyojulikana kama hukijui ww tulia wenye akili wazchangie sio lazma uchangie
 
Kwa hiyo wenye div. Three kwa akili zako wamefel? Unajua pass mark za chuo adi uchaguliwe umepassijee? Au unatumia pua kufikir


kenge wewe ripoti kwa mods wanifungie!!hujui hata unabishana na nani unaleta ujinga!!haya niambie chuoni kwako hapo mwalimu wako yeyote nikutajie!!!au hujui pengine mi mwalimu wako!!nakushauri usome unaleta ujinga!!!
 
Poa mkuu mi shule npiga sikatai ushauri wako ila na habar zna umuhm wake mkuu thnx
 
Jamani sio kila kitu lazima ulete JF, mambo mengine muwe mnabandika kwenye mbao za matangazo za vyuo vyenu!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…