Jesse John wa TBC Taifa tafadhali tafuta mtoto wa Kiume umuite Haruna Niyonzima

NIYONZIMA NI MMOJA TU DUNIANI

Leo tumeona pasi za nyoka, pasi chonganishi, pasi mpenyezo, pasi lawama, pasi mashauzi, pasi ngwengwe, pasi mbinuko, pasi mbonyeo toka kwa mtoto wa Gisenyi Haruna Niyonzima na ile mikrosi upinde, mikrosi mmimino,mikrosi mshale toka Juma Abdul Jaffar Mnyamani.

Tanzania Prisons WATCH IT . . . . .Hata kama mnadhani mnaweza kucheza na Yanga . . . NOT TO THAT EXTENT . . . !!
 
duh! makavu live

Kama kawaida yangu Mkuu huwa ' simbakishi ' Mtu hasa nikiona anayagusa kwa namna moja au nyingine ' maslahi ' ya Simba Sports Club. Na ' nitawanyoosha ' sana tu Mkuu hadi wawe ' wanatangaza ' Kimaadili na siyo Kimabaha kwa ' kuipendelea ' na ' kuifagilia ' Yanga FC.
 

Na Mimi pia jana / leo nimetoa ' pasi chonganishi ' kwa Uongozi wa TBC juu ya huyu Mtangazaji Jesse John. Ngoma ' droo ' Mkuu.
 
Hapa bongo kwann watu hawataki waandishi na watangazaji wasionyeshe mahaba? Mbona nchi za wenzetu mtangazaji anatangaza mechi na goli likifungwa LA timu yake anainuka na kushangilia kabisa! Hata wachambuzi kina Henry, jammie carragher, Owen wote wakichambua wanaonyesha wazi mahaba yao yapo wapi lkn ni hapa peke Tz inakuwa ni kosa.
 
Vingekuwa ni vitu vya kawaida nisingevipazia sauti humu JF. Jifunze kutumia ' brain ' yako vizuri sometimes sawa?
Natumia mno brain kutathmini kila jambo. Yaani mtangazaji kumsifia mchezaji ndo maana kuwa ana mahaba na timu.!?

Mimi ni Mnyama. Lakini kwa hili mkuu hapana. Commentators in EPL na kwingineko tunawasikia namna anavyopaisha mchezaji je ana mahaba na timu.?


Tafakari bhana...!
 
Nendeni FIFA mkaandamane mpewe point 3 huku watu wanatoa burudani uwanjani Na kuchukua Point 3 kwa mechi zote zilizobaki moja tayali zimebakia NNE .
 

Tanzania siyo huko Ulaya. Kwahiyo ikitokea hao Watangazaji wa huko Ulaya wakianzisha ' mtindo ' wa Kutangaza huku wakiwa wamevalia ' chupi ' zao Vichwani kwa maana hiyo ungependa pia na hawa Watangazaji wetu wa Kibongo nao wawaige? Tumia vizuri ' brain ' yako katika kujenga ' hoja '.
 

Simba SC hatuna ' Shabiki ' hopeless wa mfano wako na usitake ' kunitibua ' Kichwa changu tafadhali ' nikakinukisha ' sasa hivi!
 
Simba SC hatuna ' Shabiki ' hopeless wa mfano wako na usitake ' kunitibua ' Kichwa changu tafadhali ' nikakinukisha ' sasa hivi!
Kinukishe tu. We nani katika Simba SC uwezae kumchagulia au kupima ushabiki wa klabu kwa binadamu

Ni mshabiki toka kitambo, chukua hiyo
 
Nadhani wewe ndio utumie akili yako vizuri sababu unaleta chuki tu kushabikia timu si kitu cha ajabu wala kosa. Na usilazimishe unayoyataka wewe ndio mtu hafanye, wewe mwandishi fuata unayoona sahihi na wao waache wafanye wanavyoona sahihi.
 
Shida mleta mada siku zote anajiona yupo sahihi akishindwa ataanza mitusi kwenda mbele.
 
Na wewe mleta uzi mapenzi yako na bodyguard wa Majaliwa yaliishia wapi? Ushapigwa goli ngapi tunduni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…