Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.Kwa hiyo Moo anajikweza tu wala hawekezi?
Mbn hujafananisha na kule vyuran! Unafk mbaya sanaHuyo mchezaji mmoja wa Mazembe thamani yake ni sawa na wachezaji wote wa mikia, viongozi wao, uwanja wa Mo Arena, bajeti yao ya miaka 3!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Moo anajikweza tu wala hawekezi?
Hadi mwakani atakuwa na dhamani zaidi ya billion 10
me swez mlaumu moo maana ni mbongo mwenzetu na wabongo tabia zetu zakufichana fichana huwa hatupend kusema ukweli na kuweka mambo hadharani. Alijitutumua African Lyon akasizi, na Kabla ya hapo Singida United na jimbo pia yalimshinda; sasa sijui anamalengo gani na simbaMwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.
Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
Kawaida sana mbona Kagere kakataa kwenda Hispania kabaki simba kutokana na mpunga mrefu waliomlipa simba π€£π€£π€£π€£π€£
Hii bei unainunua Simba na benchi lake la ufundi na unabakia na pesa ya kuendelea kunywa YokozunaTP Mazembe wamekataa ofa ya US $ 2.5m (Bilioni 5.8 Tsh) kumwachia nyota wao Jackson Muleka '20' kwenda Al Ahly SC
Muleka amefunga jumla ya mabao 60 na Tp Mazembe.
======
It has been reported that Cairo giants Al Ahly have launched a hefty bid to sign TP Mazembeβs forward Jackson Muleka but it was turned down by the club and the player himself.
Muleka is widely considered as one of the most promising strikers on the continent since bursting onto the scene with the Congolese Ligue 1 giants.
Al Ahly have recently been linked to few foreign players as of late as they look active on the transfer market front despite the uncertainty around football due to the COVID-19 pandemic.
Muleka becomes the latest forward to be linked to the Red Devils after Mamelodi Sundownsβ Gaston Sirino, whose rumors were quickly debunked.
The 20-year-old has featured for Mazembe in 10 games in the Champions League this season and he got seven goals to his name in this termβs edition.
According to ESPN journalist Anthony Pla, Al Ahly have launched a $2.5M to obtain the services of Muleka next season in addition to a $1M potential sign-on fee.
Nonetheless, the offer was turned down by Mazembe and the player who is said to be aspiring to make a move to Europe.
Muleka made his debut for DR Congo last year. Since then he has scored three goals in seven appearances for the Leopards.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli maana wengine wanatoa zawadi za magodoro!Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.
Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
Weka na thamani ya kikosi Cha vyura fcWanawekeza bilioni 3 kwa kikosi kizima.. na kususa susa mitandaoni.. halafu wanataka wapewe hati za majengo.. ndio maana kilomoni anakuwa mkali
Eti Mikia walikuwa wanamtaka. Kwa hela za Mzee wa kususa.Katumbi ndiye mtu anayeweza kujiita mwekezaji hawa wengine wanaiga
Wakala wa Kagere aliwaingiza cha kike! Umri ule aende Levante?Kawaida sana mbona Kagere kakataa kwenda Hispania kabaki simba kutokana na mpunga mrefu waliomlipa simba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Levante wamezidiwia mpunga na Mo, hivyo mr Hirizi anabaki Arena.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] dadekiMwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.
Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] jf haichoshi idumu mileleLevante wamezidiwia mpunga na Mo, hivyo mr Hirizi anabaki Arena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vile vile pesa hiyo unasajili wachezaji wote wa vyura, lile dimbwi lao unakodishwa miaka kumi na unaozeshwa mashabiki wote wa vyura.Huyo mchezaji mmoja wa Mazembe thamani yake ni sawa na wachezaji wote wa mikia, viongozi wao, uwanja wa Mo Arena, bajeti yao ya miaka 3!
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu zenu si zinawawekezaji naonaga mnatambianaga humuBei yake inakatisha tamaa kwa timu zetu za hapa bongoland
Hahahaha, nadhani wataona utofauti wa Simba wanajiita kikosi cha billion 1 na tp MazembeMwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.
Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.