Jeuri ya pesa: TP Mazembe yakataa dau la Al Ahly kumuuza Jackson Muleka

Jeuri ya pesa: TP Mazembe yakataa dau la Al Ahly kumuuza Jackson Muleka

Mazembe mbali ya kuwa na timu imara ya wakubwa ikiwemo kununua wachezaji bora afrika lakini imefanya uwekezaji mkubwa wa timu za vijana lakini angalia simba na yanga kwenye timu za vijana na uwekezaji wao kuanzia benchi la ufundi ni kichekesho mtu kama mgosi hana sifa ya kuongoza hata timu ya wanawake, kocha wa makipa simba anafundishia uzoefu hata cheti hana
 
Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.

Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
me swez mlaumu moo maana ni mbongo mwenzetu na wabongo tabia zetu zakufichana fichana huwa hatupend kusema ukweli na kuweka mambo hadharani. Alijitutumua African Lyon akasizi, na Kabla ya hapo Singida United na jimbo pia yalimshinda; sasa sijui anamalengo gani na simba
 
TP Mazembe wamekataa ofa ya US $ 2.5m (Bilioni 5.8 Tsh) kumwachia nyota wao Jackson Muleka '20' kwenda Al Ahly SC

Muleka amefunga jumla ya mabao 60 na Tp Mazembe.

======

It has been reported that Cairo giants Al Ahly have launched a hefty bid to sign TP Mazembe’s forward Jackson Muleka but it was turned down by the club and the player himself.

Muleka is widely considered as one of the most promising strikers on the continent since bursting onto the scene with the Congolese Ligue 1 giants.

Al Ahly have recently been linked to few foreign players as of late as they look active on the transfer market front despite the uncertainty around football due to the COVID-19 pandemic.

Muleka becomes the latest forward to be linked to the Red Devils after Mamelodi Sundowns’ Gaston Sirino, whose rumors were quickly debunked.

The 20-year-old has featured for Mazembe in 10 games in the Champions League this season and he got seven goals to his name in this term’s edition.

According to ESPN journalist Anthony Pla, Al Ahly have launched a $2.5M to obtain the services of Muleka next season in addition to a $1M potential sign-on fee.

Nonetheless, the offer was turned down by Mazembe and the player who is said to be aspiring to make a move to Europe.
Muleka made his debut for DR Congo last year. Since then he has scored three goals in seven appearances for the Leopards.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hii bei unainunua Simba na benchi lake la ufundi na unabakia na pesa ya kuendelea kunywa Yokozuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.

Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
Ni kweli maana wengine wanatoa zawadi za magodoro!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.

Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] dadeki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mchezaji mmoja wa Mazembe thamani yake ni sawa na wachezaji wote wa mikia, viongozi wao, uwanja wa Mo Arena, bajeti yao ya miaka 3!

Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vile pesa hiyo unasajili wachezaji wote wa vyura, lile dimbwi lao unakodishwa miaka kumi na unaozeshwa mashabiki wote wa vyura.
 
JM the Sniper huyo mtoto wa kamalondo ,kakulia hapo hapo Mazembe kuanzia don bosco
 
Jackson Muleka The Sniper
IMG-20200127-WA0018.jpeg
 
Mwekezaji a.k.a Kijana bilionea aliyewapa wachezaji wa Simba Zawadi ya bodaboda kwa kila mchezaji akisema zitawaongezea kipato nje ya mpira,sijui anataka wakitoka Tizi jioni wakapige deiwaka ya bodaboda.

Anyway ndio wawekezaji tuliobarikiwa nao hao.
Hahahaha, nadhani wataona utofauti wa Simba wanajiita kikosi cha billion 1 na tp Mazembe
 
Back
Top Bottom