Jeuri ya pesa

Jeuri ya pesa

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Yani eti sasa hivi nimekamata hela ndefu billion na ushee kitakachotokea vizazi na vizazi vitasimulia.

Natinga pale kambini lugalo nimevaa magwanda ya kijeshi la marekani yenye bendera ya marekani begani nilioaigiza Ebay nakuanza kuwazaba wajeda mfululizo wa makofi na kila kofi nalipa laki.

Naenda kwenye zile fremu ingia mwaga mwaga chana chana vitu fanya uharibifu na kila fremu niliofanya uaribifu nalipa million ishirini.

Halafu nakimbia nakujificha kwa Kibatala na kumkabidhi million 500 aweke mambo sawa.

adriz Mufti kuku The Infinity Smart911 Da'Vinci Intelligent businessman
 
Yani eti sasa hivi nimekamata hela ndefu billion na ushee kitakachotokea vizazi na vizazi vitasimulia.

Natinga pale kambini lugalo nimevaa magwanda ya kijeshi la marekani yenye bendera ya marekani begani nilioaigiza Ebay nakuanza kuwazaba wajeda mfululizo wa makofi na kila kofi nalipa laki.

Naenda kwenye zile fremu ingia mwaga mwaga chana chana vitu fanya uharibifu na kila fremu niliofanya uaribifu nalipa million ishirini.

Halafu nakimbia nakujificha kwa Kibatala na kumkabidhi million 500 aweke mambo sawa.

adriz Mufti kuku The Infinity Smart911 Da'Vinci Intelligent businessman
Hiyo kesi yako Kitabala hapokei pesa za hivyo.

Hiyo mpe Tundu Lissu
 
Yani eti sasa hivi nimekamata hela ndefu billion na ushee kitakachotokea vizazi na vizazi vitasimulia.

Natinga pale kambini lugalo nimevaa magwanda ya kijeshi la marekani yenye bendera ya marekani begani nilioaigiza Ebay nakuanza kuwazaba wajeda mfululizo wa makofi na kila kofi nalipa laki.

Naenda kwenye zile fremu ingia mwaga mwaga chana chana vitu fanya uharibifu na kila fremu niliofanya uaribifu nalipa million ishirini.

Halafu nakimbia nakujificha kwa Kibatala na kumkabidhi million 500 aweke mambo sawa.

adriz Mufti kuku The Infinity Smart911 Da'Vinci Intelligent businessman
Rostam na ubilionea wake pamoja na yusuph manji bado cheo yaani madaraka yaliwahenyesha.
Achana na mtu mwenye cheo Afrika.
So vibilioni si ela
 
Yani eti sasa hivi nimekamata hela ndefu billion na ushee kitakachotokea vizazi na vizazi vitasimulia.

Natinga pale kambini lugalo nimevaa magwanda ya kijeshi la marekani yenye bendera ya marekani begani nilioaigiza Ebay nakuanza kuwazaba wajeda mfululizo wa makofi na kila kofi nalipa laki.

Naenda kwenye zile fremu ingia mwaga mwaga chana chana vitu fanya uharibifu na kila fremu niliofanya uaribifu nalipa million ishirini.

Halafu nakimbia nakujificha kwa Kibatala na kumkabidhi million 500 aweke mambo sawa.

adriz Mufti kuku The Infinity Smart911 Da'Vinci Intelligent businessman
Maghayo una vituko
 
Yani eti sasa hivi nimekamata hela ndefu billion na ushee kitakachotokea vizazi na vizazi vitasimulia.

Natinga pale kambini lugalo nimevaa magwanda ya kijeshi la marekani yenye bendera ya marekani begani nilioaigiza Ebay nakuanza kuwazaba wajeda mfululizo wa makofi na kila kofi nalipa laki.

Naenda kwenye zile fremu ingia mwaga mwaga chana chana vitu fanya uharibifu na kila fremu niliofanya uaribifu nalipa million ishirini.

Halafu nakimbia nakujificha kwa Kibatala na kumkabidhi million 500 aweke mambo sawa.

adriz Mufti kuku The Infinity Smart911 Da'Vinci Intelligent businessman
Sitaki kuisingizia bangi lakini hapa naiona kabisa😂
 
Naona Jeuri umeshaipata tayari,kilichobaki ni hiyo pesa tu,

Hongera kwa kukamilisha hicho kimoja.
 
Ndiyo maana Mungu huwa hawapi Utajiri watu wa aina yako.

Maana akija kukupa huo utajiri hata ukiwa Mzee wa miaka 80 utatamani uingie disko ukacheze Muziki na Vijana 😜
 
Back
Top Bottom