Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Hata muhamad alikua shoga....soma hadithi idadi 16:245.....uone akichokua anafanya na hassanyaani pole hiyo mimi au hao mashoga ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata muhamad alikua shoga....soma hadithi idadi 16:245.....uone akichokua anafanya na hassanyaani pole hiyo mimi au hao mashoga ??
Watu wengi huwa wanashindwa kuuelewa huu mstari, wakati palepale kwenye mstari husika Yesu alifafanua vizuri. hata ukisoma sasahivi, ni self explanatory, unaweza kuutafsiri wazi wazi alicholenga.
SWALI: wakati gani yesu aliongea maneno haya? JIBU: ukisoma Mathayo 10, Yesu aliongea maneno hayo baada ya kuwaita wanafunzi/thenashara wake akawatuma kwenda kuhubiri, hivyo alikuwa anawaambia wawe tayari wanaweza kukutana na mateso kwasababu ya kumfuata yeye. ndicho alichomaanisha. soma hadi mwisho nitaweka mstari wenyewe pale chini.
SWALI: nini maana ya kuleta upanga? JIBU: Kipindi kile imani ndani ya Yesu Kristo ilikuwa ni usaliti na kufuru mkubwa sana katika dini ya Kiyahudi uliostahili kifo, serikali ya kiyahudi chini ya Herode iliyo kuwa kama ceremonial tu ndani ya serikali kuu ya Warumi ilikuwa inafuata sheria za kiyahudi ambazo imani ndani ya Yesu ilikuwa ni usaliti na kufuru. yaani wayahudi walitawaliwa kwa sheria za dini yao. Hivyo, kuwashawiwi wayahudi waache desturi zao wafuate mafundisho ya Agano Jipya ya Yesu Kristo, ilikuwa inafarakanisha familia, hivyo alikuwa anawaambia watu wawe tayari kubeba msalaba wamfuate. Kubeba msalaba maana yake wawe tayari hata kuteseka kama itatokea ila tu wamfuate, kwasababu kumfuata kunaweza kuwapatia shida. Msalama ilikuwa ni instrument ya kutesea kwa warumi, hivyo kubeba msalama na kumfuata ilimaanisha wajiandae wanaweza kuhitajika kupitia mateso hivyo wabebe kabisa instrument ya kuteswa kama itatokea wawe tayari katika kumfuata.
Kuleta upanga haimaanishi kwamba Yesu alisema watu waende wakaue, NO, alimaanisha hata ndugu anaweza kukuua kwasababu ya kumfuata Yesu, unaweza kufarakana na familia yote kwa kumfuata Yesu. Na hiyo ipo hadi leo, kuna watu wanatengwa na familia kabisa kwasababu wameokoka. Kwa wayahudi ilikuwa zaidi, middle east zipo hadi honor killing hadi leo, mfano binti wa kiislam akibadili dini au akifanya kituko cha dhambi kubwa ya kuaibisha familia, ndugu wanaweza kumuua kwa heshima ya ukoo n.k. ndicho alichomaanisha kwamba unaweza kuchukiwa au hata kuuawa na ndugu kwa sababu unamfuata Yesu. Kwa wayahudi hiyo ipo hadi leo, ukimfuata Yesu wanakutenga kabisa, na enzi zile walikuwa wanapiga kwa mawe hadi ufe.
SOMA MISTARI HAPA CHINI.
Mathayo 10: 16 Angalieni mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu, basi iweni na busara kama nyoka na kuwa watu wapole kama hua. Jihadharini na wanadamu kwa maana watawapeleka mabarazani na katika masinagogi yao watawapiga, nanyi mtachukuliwa mbele ya maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao na kwa mataifa. Lakini hapo watakapowapeleka,msifikirfikiri jinsi mtakavyosema, maana mtapewa saa ile mtakayosema. Kwa kuwa si ninyi msemao bali Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Na ndugu atamsaliti nduguye ili auawe, na baba atamsaliti mwana na wana watawainukia wazazi wao, na kuwafisha. Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya JIna langu, lakini mwenye kuvumilia hata mwisho ndiye atakayeokoka.
MATHAYO 10: 34: Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani, la! sikuja kuleta amani bali upanga. Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu, na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake. Apendaye baba au mama kuliko mimi hanistahili, wala apendaye mwana au binti kuliko mimi hanistahili. Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili. Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza, na mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
Wewe unajulikana Myahudi wa Chato huna jipyaMkuu ukimaliza jesus.....let,s talk about MuhammadView attachment 2923154
Miyahudi imejivika kuwadanganya nyinyi wakristo , hizo ni Za kawaida huna mpyaHaizidi Saudia......ambapo idadi ya mashoga wanaogopa kujiweka hadharani ni wengi kuliko hao wa Tel Aviv walioamua kujiweka hadharani .
Au hujasafiri mkuu nchi za kiarabu ukaona wanavyopenda usjoga na ulawitiView attachment 2923148
🤣🤣🤣Wewe unajulikana Myahudi wa Chato huna jipya
ndugu yangu, wewe unaelewa nini maana ya "kubeba msalaba wako na kumfuata Yesu", na kama ukipata nafasi, soma tu hata kitabu cha Matendo ya mitume, utapata stori kuanzia mauaji ya Stefano, safari zote za Paulo na namna alivyopelekwa mbele ya mabalaza (mahakama) mara nyingi, jinsi Petro alivyotiwa gerezani kwasababu ya injili Herode akitarajia kumuua kuwafurahisha wayahudi ila Malaika akaenda kumtoa gerezani kimiujiza, n.k. mistari ipo mingi, sijui nianzie wapi, Yesu alijua kuwa wale wote watakaomfuata watakutana na shida za kufarakana na familia zao pia, na hayo yote yalitokea na yanatokea hata leo hii.Umeandika
JIBU: Kipindi kile imani ndani ya Yesu Kristo ilikuwa ni usaliti na kufuru mkubwa sana katika dini ya Kiyahudi uliostahili kifo, serikali ya kiyahudi chini ya Herode iliyo kuwa kama ceremonial tu ndani ya serikali kuu ya Warumi ilikuwa inafuata sheria za kiyahudi ambazo imani ndani ya Yesu ilikuwa ni usaliti na kufuru. yaani wayahudi walitawaliwa kwa sheria za dini yao. Hivyo, kuwashawiwi wayahudi waache desturi zao wafuate mafundisho ya Agano Jipya ya Yesu Kristo, ilikuwa inafarakanisha familia, hivyo alikuwa anawaambia watu wawe tayari kubeba msalaba wamfuate. Kubeba msalaba maana yake wawe tayari hata kuteseka kama itatokea ila tu wamfuate, kwasababu kumfuata kunaweza kuwapatia shida. Msalama ilikuwa ni instrument ya kutesea kwa warumi, hivyo kubeba msalama na kumfuata ilimaanisha wajiandae wanaweza kuhitajika kupitia mateso hivyo wabebe kabisa
Swali
Maelezo haya unayapata biblia ipi ?
Kanisa lako ni lipi lenye tafsiri hiyo ?
ndugu yangu, wewe unaelewa nini maana ya "kubeba msalaba wako na kumfuata Yesu", na kama ukipata nafasi, soma tu hata kitabu cha Matendo ya mitume, utapata stori kuanzia mauaji ya Stefano, safari zote za Paulo na namna alivyopelekwa mbele ya mabalaza (mahakama) mara nyingi, jinsi Petro alivyotiwa gerezani kwasababu ya injili Herode akitarajia kumuua kuwafurahisha wayahudi ila Malaika akaenda kumtoa gerezani kimiujiza, n.k. mistari ipo mingi, sijui nianzie wapi, Yesu alijua kuwa wale wote watakaomfuata watakutana na shida za kufarakana na familia zao pia, na hayo yote yalitokea na yanatokea hata leo hii.
kweli wewe ni mkristo na haujui hii? Yohana aliandika kitabu cha maono cha Ufunuo akiwa gerezani kisiwa cha Patmus kule Ugiriki, gerezani na bado unabisha hiki kitu? familia ngapi siku hizi watu wanatengana kwasababu mmoja amefuata imani ya wokovu? haujawahi kuona? Mungu akusaidie.
Mtumishi itika wito, Rudi kuhubiri🙏Kumbe source tv ya waarabu al jazeera...!!!
Afu hiyo picha unajua hapo ni wapi na hao wamesimama kwa ajili gani?????
TATIZO LENU NI HILI MNA UGONJWA WA. AKILI DHIDI YA WAYAHUDI.......KUTOKANA NA MAFUNDISHO YENU YA KIARABU....!!!
TANGU LINI MUISLAM NA MWARABU AKAONGEA POSTIVE KUHUSU JEW'S
Umeisahau ile hadithi ya MK 254??Hata muhamad alikua shoga....soma hadithi idadi 16:245.....uone akichokua anafanya na hassan
Saudia mbali sana! Hapo Zbar tu wamejazana kama kumbi kumbiHaizidi Saudia......ambapo idadi ya mashoga wanaogopa kujiweka hadharani ni wengi kuliko hao wa Tel Aviv walioamua kujiweka hadharani .
Au hujasafiri mkuu nchi za kiarabu ukaona wanavyopenda usjoga na ulawitiView attachment 2923148
Wafugie nguruwe au mbwa
Biblia ipi? kwani kuna Biblia ngapi? nimeyatoa kwenye Mathayo 10:16 - 34. kama unaijua Mathayo basi utajua nimetoa kwenye Biblia ipi.Mbona umesahau maswali?
Jibu kwanza haya maswali
Swali
Maelezo yale unayapata biblia ipi ?
Kanisa lako ni lipi lenye tafsiri hiyo ?
DuuuuhSaudia mbali sana! Hapo Zbar tu wamejazana kama kumbi kumbi
Safi sana kwa ufafanuzi makiniWatu wengi huwa wanashindwa kuuelewa huu mstari, wakati palepale kwenye mstari husika Yesu alifafanua vizuri. hata ukisoma sasahivi, ni self explanatory, unaweza kuutafsiri wazi wazi alicholenga.
SWALI: wakati gani yesu aliongea maneno haya? JIBU: ukisoma Mathayo 10, Yesu aliongea maneno hayo baada ya kuwaita wanafunzi/thenashara wake akawatuma kwenda kuhubiri, hivyo alikuwa anawaambia wawe tayari wanaweza kukutana na mateso kwasababu ya kumfuata yeye. ndicho alichomaanisha. soma hadi mwisho nitaweka mstari wenyewe pale chini.
SWALI: nini maana ya kuleta upanga? JIBU: Kipindi kile imani ndani ya Yesu Kristo ilikuwa ni usaliti na kufuru mkubwa sana katika dini ya Kiyahudi uliostahili kifo, serikali ya kiyahudi chini ya Herode iliyo kuwa kama ceremonial tu ndani ya serikali kuu ya Warumi ilikuwa inafuata sheria za kiyahudi ambazo imani ndani ya Yesu ilikuwa ni usaliti na kufuru. yaani wayahudi walitawaliwa kwa sheria za dini yao. Hivyo, kuwashawiwi wayahudi waache desturi zao wafuate mafundisho ya Agano Jipya ya Yesu Kristo, ilikuwa inafarakanisha familia, hivyo alikuwa anawaambia watu wawe tayari kubeba msalaba wamfuate. Kubeba msalaba maana yake wawe tayari hata kuteseka kama itatokea ila tu wamfuate, kwasababu kumfuata kunaweza kuwapatia shida. Msalama ilikuwa ni instrument ya kutesea kwa warumi, hivyo kubeba msalama na kumfuata ilimaanisha wajiandae wanaweza kuhitajika kupitia mateso hivyo wabebe kabisa instrument ya kuteswa kama itatokea wawe tayari katika kumfuata.
Kuleta upanga haimaanishi kwamba Yesu alisema watu waende wakaue, NO, alimaanisha hata ndugu anaweza kukuua kwasababu ya kumfuata Yesu, unaweza kufarakana na familia yote kwa kumfuata Yesu. Na hiyo ipo hadi leo, kuna watu wanatengwa na familia kabisa kwasababu wameokoka. Kwa wayahudi ilikuwa zaidi, middle east zipo hadi honor killing hadi leo, mfano binti wa kiislam akibadili dini au akifanya kituko cha dhambi kubwa ya kuaibisha familia, ndugu wanaweza kumuua kwa heshima ya ukoo n.k. ndicho alichomaanisha kwamba unaweza kuchukiwa au hata kuuawa na ndugu kwa sababu unamfuata Yesu. Kwa wayahudi hiyo ipo hadi leo, ukimfuata Yesu wanakutenga kabisa, na enzi zile walikuwa wanapiga kwa mawe hadi ufe.
SOMA MISTARI HAPA CHINI.
Mathayo 10: 16 Angalieni mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu, basi iweni na busara kama nyoka na kuwa watu wapole kama hua. Jihadharini na wanadamu kwa maana watawapeleka mabarazani na katika masinagogi yao watawapiga, nanyi mtachukuliwa mbele ya maliwali na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushuhuda kwao na kwa mataifa. Lakini hapo watakapowapeleka,msifikirfikiri jinsi mtakavyosema, maana mtapewa saa ile mtakayosema. Kwa kuwa si ninyi msemao bali Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu. Na ndugu atamsaliti nduguye ili auawe, na baba atamsaliti mwana na wana watawainukia wazazi wao, na kuwafisha. Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya JIna langu, lakini mwenye kuvumilia hata mwisho ndiye atakayeokoka.
MATHAYO 10: 34: Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani, la! sikuja kuleta amani bali upanga. Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu, na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake. Apendaye baba au mama kuliko mimi hanistahili, wala apendaye mwana au binti kuliko mimi hanistahili. Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili. Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza, na mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
Mkuu ukimaliza jesus.....let,s talk about MuhammadView attachment 2923154
Saudia mbali sana! Hapo Zbar tu wamejazana kama kumbi kumbi
Ni kweli kwani lile kanisa la kipentekoste la mashoga Mbeya ni Zanzibar ,
By the way wengine wameolewa kanisani huko Marekani hawa
View: https://www.youtube.com/watch?v=rndL7rsgmUo&pp=ygUpbXRhbnphbmlhIHNob2dhIGFvbGV3YSBuYSBtenVuZ3UgbWFyZWthbmk%3D
Ni kweli kwani hata kanisa la mashoga la kipentekoste la Mbeya ni Zanzibar na Pwani au vipi?Zbar, mombasa na Tanga ndio maeneo yanayoongoza Kwa vitendo vya ushoga na ubasha