Jewish Community kujaza jiji la Gaza after War-Kama Ahadi ya Allah (sw)

Jewish Community kujaza jiji la Gaza after War-Kama Ahadi ya Allah (sw)

Habari za kugeuka Paulo akaacha kumpinga Yesu, na badala yake akawa mfuasi wake zinasimuliwa pahala patatu katika Matendo ya Mitume katika Agano Jipya la Biblia.

Na katika zote mara tatu kisa hicho kinahitalifiana katika mambo muhimu.

Kwanza tunasoma katika Sura ya 9 mstari wa 3 mpaka wa 7:

Hata (Paulo) alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni. Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, (yaani Paulo) mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe. Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda. Na wale waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya, wakiisikia sauti, wasione mtu.

Matendo 9.3-7

Katika maelezo hayo hapo ni mwandikaji anasimulia. Yapo mambo mane lazima tuyazingatie vizuri katika maelezo hayo:
  1. Mwangaza ambao Paulo ulimwangaza. Haikusemwa kuwa wengine waliuona mwangaza ule au la, lakini waliisikia sauti.
  2. Ni Paulo ambaye "akaanguka chini."
  3. Yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye waliisikia sauti, lakini hawakumwona mtu.
  4. Sauti ya Yesu ilimuamuru "aingie mjini, naye ataambiwa yampasayo kutenda." Hapo hakuambiwa nini la kutenda.

Katika Biblia hiyo hiyo, katika kitabu hicho hicho cha Matendo ya Mitume, sura 22, mstari wa 6 mpaka wa 10 ipo ncha ya pili ya hadithi kusimulia tukio lile lile.

Msimulizi hapa ni Paulo mwenyewe:

Ikawa nilipokuwa nikisafiri, nikikaribia Dameski, wakati wa adhuhuri, ghafula nuru kuu ilitoka mbinguni, ikanimulikia pande zote. Nikaanguka nchi (yaani chini), nikasikia sauti ikiniambia, Sauli, Sauli, mbona unaniudhi? Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi. Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami. Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uingie Dameski, na huko utaambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa uyafanye.

Matendo 22.6-10


Ncha hii yakubaliana na ile ya mwanzo katika mambo haya:
  1. Aliyeanguka chini ni Paulo na sio wale waliokuwa pamoja naye.
  2. Aliloambiwa Paulo ni kuingia mjini na huko ndiko atakoambiwa nini la kulifanya.
Ncha hii lakini inakosana na ile ya kwanza kuwa ya kwanza yasema ya kuwa wale waliokuwa naye "wakasimama kimya, wakisikia sauti, lakini haikusema kuwa waliona nuru.

Katika ncha hii ya pili twaambiwa: waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti.

Ncha ya tatu ya tukio hilo hilo muhimu kabisa katika historia ya Ukristo inaelezwa katika maneno yake mwenyewe Paulo vile vile kama inavyosimuliwa katika kitabu kile kile cha Matendo ya Mitume sura ya 26 mstari wa 12 mpaka wa 18:

Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofuatana nami pande zote. Tukaanguka nchi (chini) sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya kiebrania, Sauli! Sauli! mbona waniudhi? ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo (ujiti wenye ncha wa kuchokolea). Nami nikasema,Wewe u nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikikuokoa na watu wako, na watu wa Mataifa, ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.

Matendo 26.12-18

Sasa hapa tunaona khitilafu kubwa na zile ncha za hadithi ziliomo katika sura ya 9 na sura ya 22 katika hicho hicho kitabu kimoja cha Matendo ya Mitume. Hebu tuchungue:

  1. Kwa mujibu wa ncha hii si Paulo pekee aliyeona nuru - kama ilivyoelezwa pale mara ya kwanza - lakini wote waliokuwa naye waliona nuru, kama ilivyoelezwa mara ya pili.
  2. Hapa Paulo anasema: Tukaanguka nchi sote. Haya yanapinga ncha ya kwanza na ya pili zilizosema kuwa ni Paulo tu peke yake ndiye aliyeanguka chini.
  3. Katika masimulizi ya kwanza na ya pili ilisemwa wazi kuwa Paulo aliambiwa aingie mjini Demeski na huko ataambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa ayafanye. Hii mara ya tatu mambo yote ameamuriwa hapo hapo kabla ya kuingia mjini, kinyume na ilivyosimuliwa mara ya kwanza na ilivyosimuliwa mara ya pili. Tena hapo Paulo alimsikia Yesu anamuamrisha amri kinyume na alivyokuwa akiwafunza na kuwaamrisha wanafunzi wake siku zote katika uhai wake - anamuamrisha Paulo apeleke utume wa Yesu kwa mataifa mengine yasiyokuwa Mayahudi. Kadhaalika kinyume na mafunzo ya Yesu katika uhai wake anamuamrisha afunze kuhesabiwa haki kwa imani na kufutiwa dhambi.
  4. kwa nini Paulo aliongeza mengi aliposimulia mara hii ya tatu kuliko ilivyosimuliwa zile mara mbili za mwanzo? Ni kwa sababu hapa anasema na Mfalme Agripa. Lakini yafaa tusite na tujiulize: Nini thamani ya shahidi anayetoa ushahidi wake kwa polisi, akaubadilisha kidogo akifika kwa hakimu, na akatoa hadithi nyengine kabisa anapofika mahkama kuu kwa jaji? Hapana awezae kumueleza Paulo alivyo kama alivyojieleza mwenyewe katika barua yake aliyowapelekea Wakorintho. Amesema Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nalijifanya mtumwa wa wote, ili nipate watu wengi zaidi. Nalikuwa kama Myahudi kwa Wayahudi, ili niwapate Wayahudi; kwa wale walio chini ya sheria, nalikuwa kama chini ya sheria, (ingawa mimi mwenyewe si chini ya sheria,) ili niwapate walio chini ya sheria. Kwa wale wasio na sheria nalikuwa kama sina sheria, (si kwamba sina sheria mbele za Mungu, bali mwenye sheria mbele za Kristo), ili niwapate hao wasio na sheria. Kwa wanyonge nalikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu. 1 Wakorintho 9.19-22


Maelezo marefu yanachosha......nimekuuliza unajua alichokua anafanya muhamad na mwenzie......??????
 
Umeisahau ile hadithi ya MK 254??
Hakuna porojo.....wewe soma adithi idadi ya muwaiya ibn Abu!!!!!!!
Utaona ushoga ulipoanzia mkuu.....!!!
Sisi tunakaa na waarabu na tunajua tabia zao za ushoga na ulawiti.........!!!!!Utatudanganya nn???
 
Hakuna porojo.....wewe soma adithi idadi ya muwaiya ibn Abu!!!!!!!
Utaona ushoga ulipoanzia mkuu.....!!!
Sisi tunakaa na waarabu na tunajua tabia zao za ushoga na ulawiti.........!!!!!Utatudanganya nn???

Umeisahau ile hadithi ya MK 254??

Unakaa na waarabu kumbe ? Wanakulawiti?
 
Umeisahau ile hadithi ya MK 254??

Unakaa na waarabu kumbe ? Wanakulawiti?
Usitoke nje ya mada kwa aibu............!!!
Umeongea na watu tuliosafiri duniani......utatudanganya nn sisi?????
Na tuna ndugu wa dini zote mbili.....!!!
 
Usitoke nje ya mada kwa aibu............!!!
Umeongea na watu tuliosafiri duniani......utatudanganya nn sisi?????
Na tuna ndugu wa dini zote mbili.....!!!

Msingi wa Ukristo siku hizi ni kifo cha msalaba cha bwana Yesu . Mayahudi na Wakristo wanadhani kwamba Bwana Yesu alifariki juu ya msalaba, kifo cha laana.

A. Mayahudi walidhani hivi kwa sababu ya kupata nafasi ya kumkataa Bwana Yesu, kuwa wa kweli, maana Torati inasema kwamba “Aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu, (Kumbukumbu la Torati 21:23).

Kwahiyo Mayahudi walitaka sana kumfisha Yesu msalabani ili athibitike kuwa mlaaniwa na mlaaniwa hawezi kuwa Nabii wa Mungu.

B. Wakristo walikubali kwamba Yesu alikufa msalabani kwa sababu waliambiwa kwamba Yesu amebeba dhambi za watu kwa kufa msalabani. Hivi wavivu wote ambao hawataki kufuata sheria ya Mungu, mara moja walikubali kwamba damu ya Yesu imetuokoa. (Wagalatia 3:13).

Qur'an Tukufu inapinga dhana hii na inatuelekeza kwenye ukweli wa jambo. Mwenyezi Mungu anasema kwamba: “Na kusema kwao: Hakika tumemuuwa Masihi Isa Mwana wa Mariamu, Mtume wa Mungu, Hali hawakumuuwa wala hawakumfisha msalabani, bali alifananishwa kwao (kama maiti). Na kwa hakika wale waliohitilafiana kwalo, Yakini wana shaka nalo, wao hawalijui hakika yake isipokuwa wanafuata dhana. Na kwa yakini wao hawakumuuwa. (Qur'an 4:158).

Baada ya kupata hakika ya hali katika Qur'an Tukufu, wakati tunasoma Biblia tunaona kwamba Biblia pia inasadikisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani. Nitaeleza hapa hoja za Biblia moja baada ya moja, zinazothibitisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani kabisa.

1. Kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu. (Kumb. 21:23, Wagalatia 3:13). Basi mtu ambaye anafariki juu ya mti wa msalaba ndiye maluuni na maluuni anakuwa mbali na Mungu hawezi kuwa karibu na Mungu. Na mtu ambaye yu mbali na Mungu hawezi kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.

Tunaamini kwamba sawa na Qur'ani na Biblia Bwana Yesu alikuwa Nabii wa Mungu, tena kachanguliwa na kubarikiwa. Kwahiyo haiwezikani kwamba Bwana Yesu afe kifo cha laana cha msalaba.
 
Mwiba Huo , huna la kukosoa
Sasa mwiba upi........wewe unahangaika na maandiko ya wayahudi kwa kujitahidi kukosoa.
Ila wao wakikosoa maandiko ya waarabu unanuna...🤣🤣🤣!!!
TOPIC YETU NI KWAMBA KATI YA WAYAHUDI NA WAARABU SEHEMU IPI KUNA MASHOGA WENGI???????
UNAKWEPA MADA
 
Msingi wa Ukristo siku hizi ni kifo cha msalaba cha bwana Yesu . Mayahudi na Wakristo wanadhani kwamba Bwana Yesu alifariki juu ya msalaba, kifo cha laana.

A. Mayahudi walidhani hivi kwa sababu ya kupata nafasi ya kumkataa Bwana Yesu, kuwa wa kweli, maana Torati inasema kwamba “Aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu, (Kumbukumbu la Torati 21:23).

Kwahiyo Mayahudi walitaka sana kumfisha Yesu msalabani ili athibitike kuwa mlaaniwa na mlaaniwa hawezi kuwa Nabii wa Mungu.

B. Wakristo walikubali kwamba Yesu alikufa msalabani kwa sababu waliambiwa kwamba Yesu amebeba dhambi za watu kwa kufa msalabani. Hivi wavivu wote ambao hawataki kufuata sheria ya Mungu, mara moja walikubali kwamba damu ya Yesu imetuokoa. (Wagalatia 3:13).

Qur'an Tukufu inapinga dhana hii na inatuelekeza kwenye ukweli wa jambo. Mwenyezi Mungu anasema kwamba: “Na kusema kwao: Hakika tumemuuwa Masihi Isa Mwana wa Mariamu, Mtume wa Mungu, Hali hawakumuuwa wala hawakumfisha msalabani, bali alifananishwa kwao (kama maiti). Na kwa hakika wale waliohitilafiana kwalo, Yakini wana shaka nalo, wao hawalijui hakika yake isipokuwa wanafuata dhana. Na kwa yakini wao hawakumuuwa. (Qur'an 4:158).

Baada ya kupata hakika ya hali katika Qur'an Tukufu, wakati tunasoma Biblia tunaona kwamba Biblia pia inasadikisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani. Nitaeleza hapa hoja za Biblia moja baada ya moja, zinazothibitisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani kabisa.

1. Kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu. (Kumb. 21:23, Wagalatia 3:13). Basi mtu ambaye anafariki juu ya mti wa msalaba ndiye maluuni na maluuni anakuwa mbali na Mungu hawezi kuwa karibu na Mungu. Na mtu ambaye yu mbali na Mungu hawezi kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.

Tunaamini kwamba sawa na Qur'ani na Biblia Bwana Yesu alikuwa Nabii wa Mungu, tena kachanguliwa na kubarikiwa. Kwahiyo haiwezikani kwamba Bwana Yesu afe kifo cha laana cha msalaba.
Wewe ni mtumwa wa wakoloni wa kiarabu?????
Kuanzia akili na mwili mpaka roho.
Huna tofauti na wenzio ambao ni watumwa wa wayahudi kuanzia kiuchumi mpaka kiroho
 
Msingi wa Ukristo siku hizi ni kifo cha msalaba cha bwana Yesu . Mayahudi na Wakristo wanadhani kwamba Bwana Yesu alifariki juu ya msalaba, kifo cha laana.

A. Mayahudi walidhani hivi kwa sababu ya kupata nafasi ya kumkataa Bwana Yesu, kuwa wa kweli, maana Torati inasema kwamba “Aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu, (Kumbukumbu la Torati 21:23).

Kwahiyo Mayahudi walitaka sana kumfisha Yesu msalabani ili athibitike kuwa mlaaniwa na mlaaniwa hawezi kuwa Nabii wa Mungu.

B. Wakristo walikubali kwamba Yesu alikufa msalabani kwa sababu waliambiwa kwamba Yesu amebeba dhambi za watu kwa kufa msalabani. Hivi wavivu wote ambao hawataki kufuata sheria ya Mungu, mara moja walikubali kwamba damu ya Yesu imetuokoa. (Wagalatia 3:13).

Qur'an Tukufu inapinga dhana hii na inatuelekeza kwenye ukweli wa jambo. Mwenyezi Mungu anasema kwamba: “Na kusema kwao: Hakika tumemuuwa Masihi Isa Mwana wa Mariamu, Mtume wa Mungu, Hali hawakumuuwa wala hawakumfisha msalabani, bali alifananishwa kwao (kama maiti). Na kwa hakika wale waliohitilafiana kwalo, Yakini wana shaka nalo, wao hawalijui hakika yake isipokuwa wanafuata dhana. Na kwa yakini wao hawakumuuwa. (Qur'an 4:158).

Baada ya kupata hakika ya hali katika Qur'an Tukufu, wakati tunasoma Biblia tunaona kwamba Biblia pia inasadikisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani. Nitaeleza hapa hoja za Biblia moja baada ya moja, zinazothibitisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani kabisa.

1. Kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu. (Kumb. 21:23, Wagalatia 3:13). Basi mtu ambaye anafariki juu ya mti wa msalaba ndiye maluuni na maluuni anakuwa mbali na Mungu hawezi kuwa karibu na Mungu. Na mtu ambaye yu mbali na Mungu hawezi kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.

Tunaamini kwamba sawa na Qur'ani na Biblia Bwana Yesu alikuwa Nabii wa Mungu, tena kachanguliwa na kubarikiwa. Kwahiyo haiwezikani kwamba Bwana Yesu afe kifo cha laana cha msalaba.
Qur'an ni adithi za kukopi biblia ya wayahudi na wakrsto.........na hao waarabu wamekopi kila kitu humo.........miaka 700 baada ya kufa Yesu myahudi...!!!!
MIMI SIO MTUMWA WA WAKOLONI KAMA WEWE...!!!
MADA YETU NI KWAMBA KATI YA WAARABU NA WAYAHUDI WAPI KUNA MASHOGA WENGI????
 
Qur'an ni adithi za kukopi biblia ya wayahudi na wakrsto.........na hao waarabu wamekopi kila kitu humo.........miaka 700 baada ya kufa Yesu myahudi...!!!!
MIMI SIO MTUMWA WA WAKOLONI KAMA WEWE...!!!
MADA YETU NI KWAMBA KATI YA WAARABU NA WAYAHUDI WAPI KUNA MASHOGA WENGI????
Lete Aya moja iliyokopiwa kutoka biblia usikimbie
 
Lete Aya moja iliyokopiwa kutoka biblia usikimbie
Watafute wafuasi wa wayahudi wakupe.......ila sisi wanahistoria tunajua simulizi nyingi za kwenye korani zimekopiwa kutoka kwenye biblia ya wayahudi.........dini iliyotangulia kabla ya hiyo dini ya kiyahudi...!!
WEWE KICHAPO CHA GAZA KINAKUCHANGANYA 🤣🤣🤣🤣 SI MLIKUA MNASHANGILIA OCTOBER 07
 
Nimekuwekea link ya gazeti la kiyahudi linasema Israel the gayest Country on earth au nakuwekea tena

WEKA NA HAWA WAARABU WA SAUDIA WANAOTUNZANA NA KUKATA VIUNO PIA ITAPENDEZA......AU KWA AKILI YAKO YA MADRASA ULIYOPEWA ELIM- AL ARAB UNADHANI MASHOGA WAPO ISRAELI PEKEE????
🤣🤣🤣🤣 KICHAPO CHA GAZA KINAKUCHANGANYA WEWE...!!!
Screenshot_20231103-133349_1.jpg
Screenshot_20231103-133415_1.jpg
 
Duh hii kali, eti shirika la habari la kigaidi al jazeera !
 
Watafute wafuasi wa wayahudi wakupe.......ila sisi wanahistoria tunajua simulizi nyingi za kwenye korani zimekopiwa kutoka kwenye biblia ya wayahudi.........dini iliyotangulia kabla ya hiyo dini ya kiyahudi...!!
WEWE KICHAPO CHA GAZA KINAKUCHANGANYA 🤣🤣🤣🤣 SI MLIKUA MNASHANGILIA OCTOBER 07
Hiyo ndiyo Aya iliyokopiwa?
 
Israeli settlers build symbolic house on Gaza border
Wakazi wa asili wa Kiyahudi wanataka kujenga nyumba zao mpakani mwa Mji wa Gaza,

Wakazi wa Israel wameiomba Serikali yao kulisimamia bila kikomo eneo la Mkoa wa Gaza na Serilaki ijenge makazi ya kudumu kwa ajili ya Waislam mara tu vita itakapo kwisha.

''Lazima tuhamie. tunatakiwa tusambaze miji ya wayahudi maeneo yote ya Ukanda wa Gaza,'' Mwanamke mmoja wa kiisraeli aliiambia shirika la habari la kigaidi la Aljazeera.

Wito wa kuwaondosha waarabu walowezi katika ukanda umevuma na Wakazi wa Israel wanawiwa kujenga makazi yao huko Gaza, Mji wa Kihistoria wa Waisrael.

Video

The settlers are calling for Israel to take permanent control of the enclave and build Israeli settlements in it after the war.

“We must settle. We must spread Jewish towns all over the Gaza Strip,” one Israeli woman told Al Jazeera.
The call to permanently displace Palestinians in the enclave comes as Israeli settlers grow emboldened during the war in Gaza, waging at least 561 attacks on Palestinians since October 7, according to the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs.

Kuran 5:20 to 5:26
Wewe jamaa hao kwenye picha ni wavaa Kobazi tu na midevu yao,hao ndo hao hao magaidi wajengewe nyumba gani tena huku wanatakiwa wapotee kwenye ramani ya dunia,hasa ghaza.
 
Back
Top Bottom