Jewish Community kujaza jiji la Gaza after War-Kama Ahadi ya Allah (sw)

Maelezo marefu yanachosha......nimekuuliza unajua alichokua anafanya muhamad na mwenzie......??????
 
Umeisahau ile hadithi ya MK 254??
Hakuna porojo.....wewe soma adithi idadi ya muwaiya ibn Abu!!!!!!!
Utaona ushoga ulipoanzia mkuu.....!!!
Sisi tunakaa na waarabu na tunajua tabia zao za ushoga na ulawiti.........!!!!!Utatudanganya nn???
 
Hakuna porojo.....wewe soma adithi idadi ya muwaiya ibn Abu!!!!!!!
Utaona ushoga ulipoanzia mkuu.....!!!
Sisi tunakaa na waarabu na tunajua tabia zao za ushoga na ulawiti.........!!!!!Utatudanganya nn???

Umeisahau ile hadithi ya MK 254??

Unakaa na waarabu kumbe ? Wanakulawiti?
 
Umeisahau ile hadithi ya MK 254??

Unakaa na waarabu kumbe ? Wanakulawiti?
Usitoke nje ya mada kwa aibu............!!!
Umeongea na watu tuliosafiri duniani......utatudanganya nn sisi?????
Na tuna ndugu wa dini zote mbili.....!!!
 
Usitoke nje ya mada kwa aibu............!!!
Umeongea na watu tuliosafiri duniani......utatudanganya nn sisi?????
Na tuna ndugu wa dini zote mbili.....!!!

Msingi wa Ukristo siku hizi ni kifo cha msalaba cha bwana Yesu . Mayahudi na Wakristo wanadhani kwamba Bwana Yesu alifariki juu ya msalaba, kifo cha laana.

A. Mayahudi walidhani hivi kwa sababu ya kupata nafasi ya kumkataa Bwana Yesu, kuwa wa kweli, maana Torati inasema kwamba “Aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu, (Kumbukumbu la Torati 21:23).

Kwahiyo Mayahudi walitaka sana kumfisha Yesu msalabani ili athibitike kuwa mlaaniwa na mlaaniwa hawezi kuwa Nabii wa Mungu.

B. Wakristo walikubali kwamba Yesu alikufa msalabani kwa sababu waliambiwa kwamba Yesu amebeba dhambi za watu kwa kufa msalabani. Hivi wavivu wote ambao hawataki kufuata sheria ya Mungu, mara moja walikubali kwamba damu ya Yesu imetuokoa. (Wagalatia 3:13).

Qur'an Tukufu inapinga dhana hii na inatuelekeza kwenye ukweli wa jambo. Mwenyezi Mungu anasema kwamba: “Na kusema kwao: Hakika tumemuuwa Masihi Isa Mwana wa Mariamu, Mtume wa Mungu, Hali hawakumuuwa wala hawakumfisha msalabani, bali alifananishwa kwao (kama maiti). Na kwa hakika wale waliohitilafiana kwalo, Yakini wana shaka nalo, wao hawalijui hakika yake isipokuwa wanafuata dhana. Na kwa yakini wao hawakumuuwa. (Qur'an 4:158).

Baada ya kupata hakika ya hali katika Qur'an Tukufu, wakati tunasoma Biblia tunaona kwamba Biblia pia inasadikisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani. Nitaeleza hapa hoja za Biblia moja baada ya moja, zinazothibitisha kwamba Bwana Yesu hakufia msalabani kabisa.

1. Kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu. (Kumb. 21:23, Wagalatia 3:13). Basi mtu ambaye anafariki juu ya mti wa msalaba ndiye maluuni na maluuni anakuwa mbali na Mungu hawezi kuwa karibu na Mungu. Na mtu ambaye yu mbali na Mungu hawezi kuwa Nabii wa Mwenyezi Mungu.

Tunaamini kwamba sawa na Qur'ani na Biblia Bwana Yesu alikuwa Nabii wa Mungu, tena kachanguliwa na kubarikiwa. Kwahiyo haiwezikani kwamba Bwana Yesu afe kifo cha laana cha msalaba.
 
Mwiba Huo , huna la kukosoa
Sasa mwiba upi........wewe unahangaika na maandiko ya wayahudi kwa kujitahidi kukosoa.
Ila wao wakikosoa maandiko ya waarabu unanuna...🤣🤣🤣!!!
TOPIC YETU NI KWAMBA KATI YA WAYAHUDI NA WAARABU SEHEMU IPI KUNA MASHOGA WENGI???????
UNAKWEPA MADA
 
Wewe ni mtumwa wa wakoloni wa kiarabu?????
Kuanzia akili na mwili mpaka roho.
Huna tofauti na wenzio ambao ni watumwa wa wayahudi kuanzia kiuchumi mpaka kiroho
 
Qur'an ni adithi za kukopi biblia ya wayahudi na wakrsto.........na hao waarabu wamekopi kila kitu humo.........miaka 700 baada ya kufa Yesu myahudi...!!!!
MIMI SIO MTUMWA WA WAKOLONI KAMA WEWE...!!!
MADA YETU NI KWAMBA KATI YA WAARABU NA WAYAHUDI WAPI KUNA MASHOGA WENGI????
 
Lete Aya moja iliyokopiwa kutoka biblia usikimbie
 
Lete Aya moja iliyokopiwa kutoka biblia usikimbie
Watafute wafuasi wa wayahudi wakupe.......ila sisi wanahistoria tunajua simulizi nyingi za kwenye korani zimekopiwa kutoka kwenye biblia ya wayahudi.........dini iliyotangulia kabla ya hiyo dini ya kiyahudi...!!
WEWE KICHAPO CHA GAZA KINAKUCHANGANYA 🤣🤣🤣🤣 SI MLIKUA MNASHANGILIA OCTOBER 07
 
Duh hii kali, eti shirika la habari la kigaidi al jazeera !
 
Hiyo ndiyo Aya iliyokopiwa?
 
Wewe jamaa hao kwenye picha ni wavaa Kobazi tu na midevu yao,hao ndo hao hao magaidi wajengewe nyumba gani tena huku wanatakiwa wapotee kwenye ramani ya dunia,hasa ghaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…