Jezi hizi za Simba SC hazina mshindani

Watu wengi huangalia rangi na vitu vingine...
Mimi binafsi napenda jezi iwe na Collar tu na isiwe na marangi rangi sana. Rangi moja yenye collar kwangu huwa jezi isiyo na mshindani.

Simba hatimae wametoa jezi kama walikuwa kichwani kwangu.

Hapo kwenye bold umenena vyema mkuu, japo kichwa Cha habari ni kama unamaanisha ni chaguo la wengi.
 
Kumbe zenye collar zipo pia kwa kuuzwa? Nilidhani ni kwa top official tu wa Simba..bei gani hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…