Karibu sanaNgoja niweke kambi hapa
Liva tokea Nb mpk Nike wanatoa vya moto kuanzia za home mpk away.Liverpool 💓 wako moto sana kwenye swala la nyuzi hawakoseagi
Ndio maana nikasema sio official. Tusubiri tajiri mpya anasemaje maana kama unakumbuka hata wadhamini walishaanza kujitoa.Mkuu imevuja online tusubiri tuone.View attachment 2212758View attachment 2212759
Mbinu ya kibiasharaTimu zetu zinaficha kusubiria siku zao
Kweli kabisa, kama adidas kwa Man U wanatoa boko sana .Unpopular opinion: Tangu Chelsea aingie mkataba na Nike kwaajili ya utengenezaji wa vifaa vya mazoezi pamoja na jezi, sijawahi kuona Nike wakiwatendea haki Chelsea, huwa wanatoa jezi za kawaida sana
🤣🤣🤣 uzi kama pazia la hekaluMkuu imevuja online tusubiri tuone.View attachment 2212758View attachment 2212759
245,000/=Uzi mpya wa Liverpool ukifika wadau mnijuze tupeane connection... ila iwe OG
Tena ni bora aagize nje hapa TZ atauziwa 245k kwa jezi ya 25k245,000/=
Mkuu nimekuja kugundua wewe ni mshabik mkubwa wa BayaaanHuu uzi umekwenda shule .