1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Uzi mkali mnooo Mkuu.Uzi wetu ni mkaliView attachment 1170600View attachment 1170601
Nimejikuta nacheka Mtani na hii post yako. ππππHaya Makavelo hata bure hapana
Mie mwenyewe leo mida mida ntakwenda jitwalia ya kwangu Swahiba.Nishajipatia yangu tayari. nitaenda mapemaa uwanjani kushuhudia team ya wananchi ikifanya yake
BiΔ£irimaaanaa goaaaal
Ama kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtuπππ
Mtuwache pacha sababu mwisho wa siku wadhungu wanasema "vice versa is true" πππAma kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtuπππ
Team mbovu,jezi mbovu....pacha huku kwetu bado nafasi zipo π
Fanya hima mzigo unaisha maana wananchi wanaipenda team yaoMie mwenyewe leo mida mida ntakwenda jitwalia ya kwangu Swahiba.
Kujiandaa na kilele cha siku ya Wananchi hapo kesho.
Hapana,yanga Haina mchezaji mweusi Kama Shiboub wa Simba.huyo mchezaji mweusi kushoto nae kasajiliwa yanga???
Kama sie tulivyopata sare za kuuzia vinywaji vya MO,zile mnazoziita jezi zenye rangi pendwa kwa jinsia ya KE(pink) na zile zenye rangi ya kenge!Nilikua natafuta dekio nishalipata
Ila kwa hapa sijui tumefeli wapi mbona wenzetu simba jezi zao mzuri
Punguza wivuHaya Makavelo hata bure hapana
Sio timu ya wananchi ni timu ya kila MtanzaniaMie mwenyewe leo mida mida ntakwenda jitwalia ya kwangu Swahiba.
Kujiandaa na kilele cha siku ya Wananchi hapo kesho.
Umempa jibu la kiprofesaMtume havai nguo zinazochochea haram.kamali(sportpesa)ni haram ko uvae ya yanga au ya simba kwa mtume ni dhambi ila sio kwa Mungu.
Hahahaaa. Kumbe eeee?Sio timu ya wananchi ni timu ya kila Mtanzania
Hapo kuna mstari huko vertical na huo ambao huko horizintal na ukidhani unatengeneza msalaba ni maandishi yaliyoandikwa neno Sportpesa.Mkuu huna macho!?
Hiyo ya katikati itamtosha Le MutuzMsimu huu mpya Yanga wamekuja na jezi mpya na nzuri..View attachment 1170274View attachment 1170275
Hizo ndio jezi sasa. Teh teh ππ
Hahaaaa. Ndioooo Mtani. ππSawa Mtani
Mtani Zipo size mbalimbali hivyo atapata tu.Hiyo ya katikati itamtosha Le Mutuz