Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Bei sh ngapi mkuuFanya hima mzigo unaisha maana wananchi wanaipenda team yao
Mtani Zipo size mbalimbali hivyo atapata tu.
Hahaaaa. Ndioooo Mtani. 😎😎
Sio matatizo kwenye ukweli tuongee sie jezi zetu tumezingua, jezi ukiangalia kwa mbali unaona kama msalaba bhana, hili nalo lakubishana hongereni simba jezi zenu mzuriUnamatatizo makubwa sana, pole
Sio matatizo kwenye ukweli tuongee sie jezi zetu tumezingua, jezi ukiangalia kwa mbali unaona kama msalaba bhana, hili nalo lakubishana hongereni simba jezi zenu mzuri
Tafuta maduka yote ya madera hapa mjini huwezi kuta dera la njano,meekundu ndio yamejaaHoyaaaa njooooni huku madela ya Kwenye vigodoro yametoka tayri
Nimejikuta nacheka Mtani na hii post yako.