Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
wasijenge kikosi wabaki kuchapisha viganja kwenye jezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaitwa mshana hiiiiiZitazidi kuongeza gundu la mechi ya kwanza watafungwa😂
Alimaanisha hazitakuwa na mdhamini Mkuuu wa Yanga ambaye ni Sportpesa.Alisema pia Jezi za msimu huu hazina mdhamini wa kifuani...
Watawasha taa hadi za magari waliyoendanayo uwanjani😂😂 na mechi ya kwanza imepewa hadhi ya DUBE Day sasa sijui wataongeza ukubwa wa goli siku hiyo.
Nazisubiria Mkuu.
Nakufa hapa 😊Tunaisubiriiii
Uko wapi?
Ntumie kwanza hela basi ndio unaniliu....Nakufa hapa 😊
Yani nitume hela halafu ndio nikufe au ? 🙄Ntumie kwanza hela basi ndio unaniliu....
Inawezekana yanKlabu ya Yanga Sc kupitia kwa Meneja wake wa Habari na Mawasiliano Ally Kamwe, imethibitisha kuwa jezi mpya za klabu hiyo kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Afrika zitazinduliwa Tarehe 20, Novemba 2024 na zitauzwa kwa Tsh 50,000/= tu.
View attachment 3153741
"Tarehe 26 mwezi huu tuna mchezo wa ligi ya Mabingwa, wengi wamejiuliza je hatuna jezi mpya msimu huu? Niwaambie Wananchi jezi mpya za ligi ya mabingwa zipo tayari na zitazinduliwa tarehe 20"
"Jezi hizi zitauzwa shilingi elfu 50, Safari hii hatuna bei ya jumla tuna bei ya rejareja, Jezi hizi zitauzwa hapa Makao Makuu Jangwani na katika maduka yote ya GSM Malls"
Soma: Ali Kamwe aupakulia minyama Uongozi wa Yanga kwa kumleta Ramovic
Klabu ya Yanga Sc kupitia kwa Meneja wake wa Habari na Mawasiliano Ally Kamwe, imethibitisha kuwa jezi mpya za klabu hiyo kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Afrika zitazinduliwa Tarehe 20, Novemba 2024 na zitauzwa kwa Tsh 50,000/= tu.
View attachment 3153741
"Tarehe 26 mwezi huu tuna mchezo wa ligi ya Mabingwa, wengi wamejiuliza je hatuna jezi mpya msimu huu? Niwaambie Wananchi jezi mpya za ligi ya mabingwa zipo tayari na zitazinduliwa tarehe 20"
"Jezi hizi zitauzwa shilingi elfu 50, Safari hii hatuna bei ya jumla tuna bei ya rejareja, Jezi hizi zitauzwa hapa Makao Makuu Jangwani na katika maduka yote ya GSM Malls"
Soma: Ali Kamwe aupakulia minyama Uongozi wa Yanga kwa kumleta Ramovic