Jezi mpya za Yanga za Klabu Bingwa kuzinduliwa Novemba 20

Inawezekana yan


Kuna jambo moja kwenye jezi mpya za yanga wengi hawajaliona, inawezekana msimu huu yanga wakafanya vizuri sana kimataifa sitashangaa kabisa ndani nje wakafanya vizuri sana, kuna mkataba naona pale kwenye jezi japo sio mzuri kuna herufi M imeongezwa pale katikati ya kifua watu wanachukulia poa tu, kuna gari moja mercedez anayo huyu godlove anatamba yao, nembo ya mercedeze inajulikana kama nyota flani hv lkn sasa kuna hyo gari mpya kali ile nembo pale mbele imebadilika imekuwa Kama M m,hii gari ya bei mbaya sana na inafanya vzur sna sokoni makataba huoo, makampuni mengi sasa hv kuna mabadoliko ya nembo zao kiujanja flani hv ila ndio mikataba yenyewe .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…