kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mbeya city walivaa jezi nyeusi dhidi ya prisons wakanyooshwa, na Azam walivaa jezi nyeusi dhidi ya Yanga wakanyukwa. Jezi nyeusi ya Yanga sio TU ni nyeusi bali Ina majina ya watu wao muhimu sana. Sio weusi unaofanyakazi bali zile signatures za watu muhimu, legends. Vinginevyo utapata mkosi kama ukivaa nguo nyeusi kama walivyofanya Azam na Mbeya city.
Msirudie tena kavaa hivyo
Msirudie tena kavaa hivyo