Jezi ya nyumbani ya Yanga inakitu, Yanga itafika mbali

Jezi ya nyumbani ya Yanga inakitu, Yanga itafika mbali

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Kama mashindano ya CAF yanaruhusu kuvaa jezi ya nyumbani hata ukiwa ugenini, basi ni vyema Yanga wakawa wanaitumia jezi za nyumbani hata wakiwa away kama tu jezi hazifanani na aliyeko kwake.

Yanga wakivaa zile jezi, wanakuwa na morali na hali ya juu, wanakuwa na kiwango kikubwa cha kufanya maamuzi sahihi na hawafanyi makosa ya mara kwa mara kwanzia tofauti kabisa na hii mijezi mengine. Kama Yanga watazitumia jezi zao sijui ni nyeusi au ni blue kwenye first na second leg ya michezo ya robo na nusu basi bila shaka watacheza fainali ya CAF confederation cup msimu huu.
 
Kama mashindano ya CAF yanaruhusu kuvaa jezi ya nyumbani hata ukiwa ugenini, basi ni vyema Yanga wakawa wanaitumia jezi za nyumbani hata wakiwa away kama tu jezi hazifanani na aliyeko kwake.

Yanga wakivaa zile jezi, wanakuwa na morali na hali ya juu, wanakuwa na kiwango kikubwa cha kufanya maamuzi sahihi na hawafanyi makosa ya mara kwa mara kwanzia tofauti kabisa na hii mijezi mengine. Kama Yanga watazitumia jezi zao sijui ni nyeusi au ni blue kwenye first na second leg ya michezo ya robo na nusu basi bila shaka watacheza fainali ya CAF confederation cup msimu huu.
naskia yanga kashampakata mtu huko kweliau??
 
Huo msemo kuanzisha nani ?maana unatrend sana siku hizi.
 
Kama mashindano ya CAF yanaruhusu kuvaa jezi ya nyumbani hata ukiwa ugenini, basi ni vyema Yanga wakawa wanaitumia jezi za nyumbani hata wakiwa away kama tu jezi hazifanani na aliyeko kwake.

Yanga wakivaa zile jezi, wanakuwa na morali na hali ya juu, wanakuwa na kiwango kikubwa cha kufanya maamuzi sahihi na hawafanyi makosa ya mara kwa mara kwanzia tofauti kabisa na hii mijezi mengine. Kama Yanga watazitumia jezi zao sijui ni nyeusi au ni blue kwenye first na second leg ya michezo ya robo na nusu basi bila shaka watacheza fainali ya CAF confederation cup msimu huu.
Kwa nini hujaandika kuwa watachukua kombe na umeishia kuandika watacheza fainali tu. Huamini jezi hiyo itawapa kombe!?
 
Kwani jezi ndiyo inacheza, mbona unaleta nadharia za ajabu.
Kama ni nadhria ya ajabu basi niambie ni lini yanga imepoteza mechi ikiwa imevalia jezi ya rangi nyeusi/ dark blue
 
Kwa nini hujaandika kuwa watachukua kombe na umeishia kuandika watacheza fainali tu. Huamini jezi hiyo itawapa kombe!?
Unaweza kuchukua kombe pasipo kucheza fainali? Nimezungumzia kwanza kufika fainali. Kuchukua kombe hilo ni swala jepesi zaidi pindi akishafuzu kucheza fainali
 
Kuna mwizi mtaani kwetu kila alitaka kufanya tukio avaa jezi nyeusi ya Yanga, alifanikiwa kilama miujiza kuiva mchana bila kustukiwa mpaka arobaini yake ilipofika
 
Kama mashindano ya CAF yanaruhusu kuvaa jezi ya nyumbani hata ukiwa ugenini, basi ni vyema Yanga wakawa wanaitumia jezi za nyumbani hata wakiwa away kama tu jezi hazifanani na aliyeko kwake.

Yanga wakivaa zile jezi, wanakuwa na morali na hali ya juu, wanakuwa na kiwango kikubwa cha kufanya maamuzi sahihi na hawafanyi makosa ya mara kwa mara kwanzia tofauti kabisa na hii mijezi mengine. Kama Yanga watazitumia jezi zao sijui ni nyeusi au ni blue kwenye first na second leg ya michezo ya robo na nusu basi bila shaka watacheza fainali ya CAF confederation cup msimu huu.
Kwa nini hujaandika kuwa watachukua kombe na umeishia kuandika watacheza fainali tu. Huamini jezi hiyo itawapa kombe
Unaweza kuchukua kombe pasipo kucheza fainali? Nimezungumzia kwanza kufika fainali. Kuchukua kombe hilo ni swala jepesi zaidi pindi akishafuzu kucheza fainali
Mbona umezungumzia nusu fainali pia wakati bado hajacheza robo fainali!? Ukishasema jezi ina faida kwao haina na watatoboa robo na nusu na kucheza fainali, nini kinakuzuia kusema watashinda fainali na kuleta kombe. Au huna imani na unachokiandika!?
 
Kama mashindano ya CAF yanaruhusu kuvaa jezi ya nyumbani hata ukiwa ugenini, basi ni vyema Yanga wakawa wanaitumia jezi za nyumbani hata wakiwa away kama tu jezi hazifanani na aliyeko kwake.

Yanga wakivaa zile jezi, wanakuwa na morali na hali ya juu, wanakuwa na kiwango kikubwa cha kufanya maamuzi sahihi na hawafanyi makosa ya mara kwa mara kwanzia tofauti kabisa na hii mijezi mengine. Kama Yanga wawatazitumia jezi zao sijui ni nyeusi au ni blue kwenye first na second leg ya michezo ya robo na nusu basi bila shaka watacheza fainali ya CAF confederation cup msimu huu.
Wagwan
 
Back
Top Bottom