GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nataka nianze Kuivaa/ Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kariakoo, pale mkabala na petrol stationNataka nianze Kuivaa / Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
Hivi huyu Mzee Nimrod Mkono amezikwa Marekani au kitu gani kinaendelea?Nataka nianze Kuivaa / Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
Popoma maana yake niniPopoma GENTAMYCINE katika kiwango chake bora kabisa cha upopoma.
Tunza hizi bwana kolo..!! Utaivaa na utaaibikaNataka nianze Kuivaa / Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
GENTA wewe inshort unanifurahisha sana kwa nyuzi zako.Nataka nianze Kuivaa / Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
Popoma maana yake nini
Mbona zipo hapo Butiama hujaziona? Au umekwisha rudi kwenu Gitega Burundi?Nataka nianze Kuivaa/ Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
Jitu kubwa lenye akili nyingi.Popoma maana yake nini
Popoma maana yake shogaPopoma maana yake nini
Kwa mujibu wa kamusi ya 'mtaani', popoma = kubwa jinga, fala fulani, mjuaji asiyejua...kwa uchache.Popoma maana yake nini
Nenda kwenye duka la simba au kwa vunjabeiNataka nianze Kuivaa/ Kuzivaa mapema nikiamini kuwa Watanifurahisha na wataenda Kunifungia Midomo Wapuuzi na washamba fulani kutokea Zuzu Nation barani Afrika.
Nimeshajibu Kiurefu katika Uzi niliouanzisha na ambao nimekutaja Wewe na Kaka Bujibuji Simba NyamaumeHivi huyu Mzee Nimrod Mkono amezikwa Marekani au kitu gani kinaendelea?
Much love and respect to you broNimeshajibu Kiurefu katika Uzi niliouanzisha na ambao nimekutaja Wewe na Kaka Bujibuji Simba Nyamaume
Popoma ni Neno la Kiubunifu lililobuniwa nami GENTAMYCINE mwaka 2013 nilipojiunga hapa JamiiForums likiwa na maana ya Pumbavu au Mpumbavu.Popoma maana yake nini
Nimecheka mno Mkuu. Haya bhana!!Zinapatikana butiama