Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

mpaka sasa hv huu uzi haujafutwa basi mtoa mada ana bahati au ni alwtan humu ndo maana uzi una survive,sasa jezi mzito na mambo ya green and yellow moto vp km wangevaa jezi nyepesi si wangeshakuwa mabingwa by nw
 
mpaka sasa hv huu uzi haujafutwa basi mtoa mada ana bahati au ni alwtan humu ndo maana uzi una survive,sasa jezi mzito na mambo ya green and yellow moto vp km wangevaa jezi nyepesi si wangeshakuwa mabingwa by nw
Una kosa gani mpaka ufutwe ?
 
Endeleeni kujifariji Kuwa Yanga siku Moja itaachia nafasi ya kwanza, mta subiri msimu mzima Na msipo angalia mtakufa kama wafuasi wa kibwetere!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…