Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya janaNaomba review ya Jezi nzito leta hata makala nitavumilia kusoma
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Dah, hivi kweli jamaa huyu yuko wapi siku hizi?Wamshatafsiri huku.. Imagine kama mchezaji ana vinasaba na Hamza...View attachment 2309747
Nilijua tu tena kwa hakika kabisa mtakuja kuufufua huu uzi [emoji23][emoji625]View attachment 2525135
Leo kimya kabisa uzi umekimbiwa tangu mnyama alipofanya yake jana ugenini.. Tunasubiri mechi ya Yanga! Matokeo ndio yataamua uzi uvamiwe tena au ukimbiwe[emoji625]View attachment 2525135
Nlikuuliza kama timu yenye jezi nzito inaongoza ligi, shirikisho ipo robo hao wenye jezi nyepesi ni kina nani? na wanamafanikio gani?
Huyu ni mganga njaaHapa ulichemkma huu uzi ni wa matukio, timu yenye jezi nzito inapoteza mechi moja kwa mda interval ndefu kiasi hicho? au uzito upi unazungumzia
We jamaa umekuja mda gani afu mbona kimya kimya kama ngwair?Huyu ni mganga njaa
Robo ya nini?Nlikuuliza kama timu yenye jezi nzito inaongoza ligi, shirikisho ipo robo hao wenye jezi nyepesi ni kina nani? na wanamafanikio gani?