Si majini ni mbilikimoUna maono kimo cha mbilikimo
Mkuu kubali tu hapa ramuli ilidundaUna maono kimo cha mbilikimo
Hapa alipaisha penalty [emoji23][emoji23]Mshana ni muhuni mmoja hivi anategemea utapeli akijidai mganga kuishi.
Mshana hua anaingia sana chaka sema ana namna yake ya kuchomoka akibanwa bila kuathiri heshima yake humuUkimuuliza kaka Mshana Jr atakuambia aliandika "INAWEZA" 🤣🤣🤣
Watalaam wanasema kadakia mpira nyuma ya goli.