Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Jezi za Timu ya Taifa ya Nigeria za Kombe la dunia 2018 zimemalizika ndani ya dakika chache tangu kuingizwa sokoni leo hii Ijumaa, (SOLD OUT)
Foleni kubwa ya mashabiki ilionekana leo katika duka la Nike London mtaa wa Oxford, wakisubiri jezi hizo.
Jezi zimetajwa kuwa ni nzuri kuliko zote zitakazoonekana nchini Russia mwaka huu kwenye michuano ya kombe la dunia.
Nike walitaka kuzipeleka sokoni mapema wiki hii lakini wakasogeza mbele kutokana na idadi ya watu waliohitaji kuzidi kuwa kubwa.
Jezi zimeuzwa zote ndani ya dakika chache na hazipatikani pia tovuti ya Nike.
Kitu kingine cha kushangaza, jezi za kufanyia mazoezi nazo pia zimekuwa SOLD OUT.
Jezi ya juu pekee inauzwa na NIKE kwa pauni 64.95 ambayo ni sawa na Tsh 197,504.
Foleni kubwa ya mashabiki ilionekana leo katika duka la Nike London mtaa wa Oxford, wakisubiri jezi hizo.
Jezi zimetajwa kuwa ni nzuri kuliko zote zitakazoonekana nchini Russia mwaka huu kwenye michuano ya kombe la dunia.
Nike walitaka kuzipeleka sokoni mapema wiki hii lakini wakasogeza mbele kutokana na idadi ya watu waliohitaji kuzidi kuwa kubwa.
Jezi zimeuzwa zote ndani ya dakika chache na hazipatikani pia tovuti ya Nike.
Kitu kingine cha kushangaza, jezi za kufanyia mazoezi nazo pia zimekuwa SOLD OUT.
Jezi ya juu pekee inauzwa na NIKE kwa pauni 64.95 ambayo ni sawa na Tsh 197,504.