Jezi za Nigeria zatajwa kuwa ni nzuri kuliko zote kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2018, nchini Russia

Jezi za Nigeria zatajwa kuwa ni nzuri kuliko zote kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2018, nchini Russia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shem stakki kucheka mm bhana jioni hii aah[emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akitumia energy yote ya kuchagua kwako

He did a gud thing tho, haya madogo madogo msaidie
 
Namuelewa babe wangu jamanii,.mniachie mwenyewe mm nayy tutavaa za Ghana Ww na wifi Ney mtavaa za Nigeria,..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aaah shem usivae sare za wauguzi zile
Tutakununlia kitu ya naijeria mpya tuna ongeza na pair moja incase jamaa ata abadili mawazo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aaah shem usivae sare za wauguzi zile
Tutakununlia kitu ya naijeria mpya tuna ongeza na pair moja incase jamaa ata abadili mawazo
Me nilikuwa na ndoto za kuwa dokta Shem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo ndoto itatimia kwa kuvaa jezi...
 
Back
Top Bottom