Ikiwa imebaki miezi kadhaa kabla ya Kombe la Dunia la mwaka huu pale nchini Qatar tayari timu shiriki zimeanza kuachia jezi zao. Tuone timu zipi zina jezi kali.
Mleta mada Hapo kwenye kirefu cha ADIDAS umetufunga kamba.
Adidas comes from the names of its founder Adolf Dassler. Adolf alikiwa anatumia nick name ADI, na akachukua herufi 3 za mwanao kutoka jina la babake DASS kuunda ADIDAS