Jezi za Timu za Taifa za Kombe la Dunia 2022

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Ikiwa imebaki miezi kadhaa kabla ya Kombe la Dunia la mwaka huu pale nchini Qatar tayari timu shiriki zimeanza kuachia jezi zao. Tuone timu zipi zina jezi kali.
 
Mleta mada Hapo kwenye kirefu cha ADIDAS umetufunga kamba.
Adidas comes from the names of its founder Adolf Dassler. Adolf alikiwa anatumia nick name ADI, na akachukua herufi 3 za mwanao kutoka jina la babake DASS kuunda ADIDAS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…