Jezi za yanga za msimu unaokuja 2022/2023

Jezi za yanga za msimu unaokuja 2022/2023

Huyu sheria ngowi a aespotosha hana uwezo wa kubuni nguo za michezo
 
Utopolo waliponda sana jezi za simba eti zimejaa matangazo ya Mo,eti anatangaza bidhaa zake bure.

Wanayanga naombeni mniambie, Hayo madude mnayoita ya kihistoria mliyojaza kwenye jezi yenu kila moja itakuwa inawalipa sh ngapi????
 
Kuna mambo yanashangaza! Jezi ni za Yanga. Badala ya kulalamika mashabiki wa Yanga kitokana na ubaya wa hizo jezi!

Eti wanalalamika mashabiki wa simba!
 
Kuna mambo yanashangaza! Jezi ni za Yanga. Badala ya kulalamika mashabiki wa Yanga kitokana na ubaya wa hizo jezi!

Eti wanalalamika mashabiki wa simba!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kulia sahivi, mbna bado msimu haujaanza?? Hiki kilio ni cha msimu mzimaaa,

Kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu pumzikaaaa.

Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaa!!!!!jamaa anajitutumua kweli lkn moyon anajua kabsa kuwa wamepigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kulia sahivi, mbna bado msimu haujaanza?? Hiki kilio ni cha msimu mzimaaa,

Kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu pumzikaaaa.

Byuti byuti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaa!!!!!jamaa anajitutumua kweli lkn moyon anajua kabsa kuwa wamepigwa
Tena huko alipo anadondosha chozi km lote, namfahamu huyu topolo lia lia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom