Jezi za Yanga zenye picha ya Kiganja cha mkono zizuiliwe, ni kejeli

Jezi za Yanga zenye picha ya Kiganja cha mkono zizuiliwe, ni kejeli

Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

View attachment 3054439
Kwanini hamkuanza kupiga kelele kwenye jezi zenu zilizowekwa 1:5 kwenye jezi? Hizo tano tano na nyie zimewapendeza ndio maana zilivyowekwa kwenye jezu hakuna aliyekasirika.
 
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

View attachment 3054439
Sala hakuna haja watazikimbia wenyewe moto utakapokolea
 
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

View attachment 3054439
Hiyo ni salamu tu usiogope.
 
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

View attachment 3054439
Wafuatao walifungwa tano na Yanga msimu uliopita kwenye mashindano mbalimbali;
1. KMC
2. 5imba
3. JKT
4. Ihefu
5. Polisi
etc

1722148729431.png


Tano mpigwe wote, ila kuumia uumie peke yako..!!! Au wewe ndo msemaji wa waliopigwa tano na Yanga?
 
Pamoja na kwamba soka ni mchezo wa ushindani, lakini pia ni sehemu ya kuunganisha watu, kwa maana ya kutengeneza mahusiano mema katika Jamii.

Kitendo walichokifanya Yanga, cha kuweka kiganja cha Mkono kwenye Jezi yao kama ishara ya kuifunga Simba Bao 5 si tu kwamba kinakera, bali pia kinaweza kusababisha vurugu na Taharuki, Ngowi utambue kwamba kuna Maisha baada ya hizi Simba na Yanga, jitahidi kuwa na Heshima, kabla ya hawa wanaokulipa leo kulikuwa na Gulamali na Manji, leo wako wapi?

Naomba Mamlaka za Soka zizuie jezi hiyo kutumika

View attachment 3054439
Una uhakika hivyo viganja maana yake ni 5 walizokula Makolo? Je kama ni salamu tu?
 
Hahaa.. Mnavyoendelea kulialia wenzenu kule wanapiga tiki kuwa lengo limetimia. Jezi yenu mbovu na bado kwa mtani anakujungua na matokeo ya msimu uliopita. Ikiuma Chomoa
 
Back
Top Bottom