Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Mwaga data🤣🤣🤣💺
Kwa heshima yako, hizi game zinachezwa siku nyingi sana, kwanza sitaiongelea hii lakini ntawapa viashiria, hii ni ndogo sana.

Kwanza jezi nyingi sana sasa hivi zinatngenezwa hapahapa Tanzania. Zinazoletwa kutoka nje ni kidogo sana, ficha kombe mwanaharamu apite.

Kwanza hilo lieleweke.

Pia ieleweke; Jezi na aina nyingine ya t shirts hazitengenezwi kwa ajili ya soko la Tanzania tu, zinatengenezwa kwa soko la Afrika Mashariki na ya kati.

Mkishalielewa hilo, hapo nimemaliza nusu ya game iliyopo mezani. Mwenye kuifahamuKariakoo na Dar kwa ujumla atanielewa.

Nusu ya mwisho ya sentensi moja tu kuhusu hili game la hapa, ntawapa baadae.
 
Ndio.TZ Kodi ya vitenge na khanga ni kubwa sana,wakati Zambia ni kidogo sana.

Hivyo wajanja wanaagiza mzigo kutokea Zambia Kisha wanaurudisha kupitia njia za panya(Tunduma).wanapiga faida balaa🤣🤣🤣🤣🤣💺💺
Hapo tunapigwa changa la macho, ndiyo ile ficha kombe mwanaharamu apite. Zinazokwenda Zambia na kurudi ni asilimia ndogo sana.

Kuna umafia wa hali ya juu unafanyika kweye vitenge na mitumba, umeshastukiwa. Mada ya hapa siyo hiyo, hiyo imeingia by the way tu, tusiiharibu mada ya jezi.

Unajuwa kuwa Mtumba Mbeya ni rahisi kuliko Dar?
 
Hapo tunapigwa changa la macho, ndiyo ile ficha kombe mwanaharamu apite. Zinazokwenda Zambia na kurudi ni asilimia ndogo sana.

Kuna umafia wa hali ya juu unafanyika kweye vitenge na mitumba, umeshastukiwa. Mada ya hapa siyo hiyo, hiyo imeingia by the way tu, tusiiharibu mada ya jezi.

Unajuwa kuwa Mtumba Mbeya ni rahisi kuliko Dar?
Ndio mitumba mbeya ni rahisi kuliko Dar.Inauzwa pale Sido🤣🤣🤣🤣💺
 
Ndio mitumba mbeya ni rahisi kuliko Dar.Inauzwa pale Sido🤣🤣🤣🤣💺
Jiulize, mitumba kwanini huko Rahisi na kwanini Vitenge huko rahisi.

Jibu lake very simple. Unganisha dots, DP World, mdudu wa wapi? mwambulukuku wa wapi? Mama Amon wa wapi?
TEC wa wapi?

Hapo kuna multibillion shillings business ya kimafia.

Siyo hayo tu, vitu vya poromosheni umesikia habari zake?
 
Hilo neno "Mwenyezi" kulirudia rudia ulikua na maana gani?
Lengo lako utukere Waislam ama vipi?

Nilikua nakuheshimu lakini leo nimekushusha.
Kumbe nawe ni mdini kiasi hiki?

Sikutofautishi na wale machoko wanaopenda kukera mabwana zao hapa jukwaani.

Kuanzia leo nawewe ni choko tu, huna issue.
Unatetea dini harafu unatukana watu ..sasa ww dini imekusaidia nn zaidi ya uchoko pro max
 
Jiulize, mitumba kwanini huko Rahisi na kwanini Vitenge huko rahisi.

Jibu lake very simple. Unganisha dots, DP World, mdudu wa wapi? mwambulukuu wa wapi? Mama Amon wa wapi?
TEC wa wapi?

Hapo kuna mulitibillion shillings business ya kimafia.


Siyo hayo tu, vitu vya poromosheni umesikia habari zake?
Haya yote yalikuwa yanafanyika chini ya serikali ya chama gani?
 
Mzee anayeomba kutongozwa na wajukuu zake?[emoji23] huyo ni mtu mzima hovyo aliyekosa kabisa staha na aibu na,kudhihirisha alivyo mpumbavu na asivyo na hekima

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka makombora ya leo ni makali sana, hii vita ni ya wembe naona umekuja na F16 na vifaru 😂😂
 
Mtoto wa mjini certified humu ndani ni mrangi tu[emoji28]
Huwezi kumfananisha mrangi na FaizaFoxy. Mrangi ni wakuja aliewahi kufika mjini na kuishi maeneo ya Magomeni na Kinondoni possible ni fundi garage anayejua stori za wezi,vibaka, wauza unga wafanyabiashara na watu wa hiyo mitaa. Bi Faizafoxy ni mzawa wa mjini, City center mwenye elimu na anayejua vyema Dar Kwa mapana na historia yake. Wengine humu wanapapasa papasa na nyie wa mikoani mnawaona wajuaji ila wa mjini tunaona gape kubwa sana la ufahamu wao.
 
Huwezi kumfananisha mrangi na FaizaFoxy. Mrangi ni wakuja aliewahi kufika mjini na kuishi maeneo ya Magomeni na Kinondoni possible ni fundi garage anayejua stori za wezi,vibaka, wauza unga wafanyabiashara na watu wa hiyo mitaa. Bi Faizafoxy ni mzawa wa mjini, City center mwenye elimu na anayejua vyema Dar Kwa mapana na historia yake. Wengine humu wanapapasa papasa na nyie wa mikoani mnawaona wajuaji ila wa mjini tunaona gape kubwa sana la ufahamu wao.
Faiza kazaliwa Dar, Mrangi anaijua Dar. Mrangi hana ngonjera akitaka kusema kitu ni comment moja anaweka code amemaliza.

Hamna mtu anazijua misheni za Dar kumzidi Mrangi humu JF. Faiza anajua historia ya Dar sababu ni umri mkubwa kumzidi Mrangi, ni kundi lilelile la kina Kiranga na mzee Mohamed. Kina Faiza wanajua historia ya kisiasa na watu maarufu, kina Mrangi wanajua harakati chafu za mjini.
Kuzaliwa Dar na kujua misheni zake ni vitu viwili tofauti kabisa, ndio maana mmeulizwa nani mzaliwa wa Kariakoo ni billionaire wa biashara hapohapo Kariakoo.
 
Faiza kazaliwa Dar, Mrangi anaijua Dar. Mrangi hana ngonjera akitaka kusema kitu ni comment moja anaweka code amemaliza.

Hamna mtu anazijua misheni za Dar kumzidi Mrangi humu JF. Faiza anajua historia ya Dar sababu ni umri mkubwa kumzidi Mrangi, ni kundi lilelile la kina Kiranga na mzee Mohamed. Kina Faiza wanajua historia ya kisiasa na watu maarufu, kina Mrangi wanajua harakati chafu za mjini.
Kuzaliwa Dar na kujua misheni zake ni vitu viwili tofauti kabisa, ndio maana mmeulizwa nani mzaliwa wa Kariakoo ni billionaire wa biashara hapohapo Kariakoo.
Ok
 
Kwa heshima yako, hizi game zinachezwa siku nyingi sana, kwanza sitaiongelea hii lakini ntawapa viashiria, hii ni ndogo sana.

Kwanza jezi nyingi sana sasa hivi zinatngenezwa hapahapa Tanzania. Zinazoletwa kutoka nje ni kidogo sana, ficha kombe mwanaharamu apite.

Kwanza hilo lieleweke.

Pia ieleweke; Jezi na aina nyingine ya t shirts hazitengenezwi kwa ajili ya soko la Tanzania tu, zinatengenezwa kwa soko la Afrika Mashariki na ya kati.

Mkishalielewa hilo, hapo nimemaliza nusu ya game iliyopo mezani. Mwenye kuifahamuKariakoo na Dar kwa ujumla atanielewa.

Nusu ya mwisho ya sentensi moja tu kuhusu hili game la hapa, ntawapa baadae.
Mbona mwanzoni umeanza na ujuaji mwingi unapewa fursa ueleze unachokijua unaandika mavimavi tu, hebu soma ulichoandika halafu soma tena alichoandika Mshana Jr halafu uone nani Hana akili timamu hatukuonei tunajaribu tu kuueleza uhalisia

Sent from my Infinix X6716B using JamiiForums mobile app
 
Mbona mwanzoni umeanza na ujuaji mwingi unapewa fursa ueleze unachokijua unaandika mavimavi tu, hebu soma ulichoandika halafu soma tena alichoandika Mshana Jr halafu uone nani Hana akili timamu hatukuonei tunajaribu tu kuueleza uhalisia

Sent from my Infinix X6716B using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa taarifa yako, tutaifanyia kazi.
 
Wewe ngoja maiti mochwari huko uuze nyeti zao, mambo ya Kariakoo utayaweza wapi wewe.

Huyo jamaa yako mleta mada kaleta mambo ya kijinga, marefu kweli kweli.

Biashara za nguo zina wenyewe, siyo kila mtu.

Kuna watu walijdai kuingilia biashara ya vitenge na khanga, waulize wako wapi sasa? Kama si Mbeya basi Malawi, hawana hamu na Kariakoo.
Mambo ya kariakoo waachie wakinga.

Wewe kajiunge na Alshabab ndio kazi unayoiweza
 
Back
Top Bottom