Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matajiri wooote ni mali ya ShetaniHuu ni ubunifu mbaya.. Uliojaa dhuluma.. Mungu hapendi
Mganga wa kienyeji...wenyewe kina Mrindoko wanajiita walimwengu. Wana energy kwenye levels za kushangilia kukimbiza mwenge Tanzania nzima 😂 😂 😂 😂 😂Mshana jr mimi naamini maubinifu yote haya yanatokana na wewe kuwa na mambo makubwa ya kiroho.?
Yes, nimetafuta hiyo liquid inaitwa epoxy resin naona bei yake ni nzito kidogo, about 100k per litreVery simple creation but amazing
Hii imetengenezwa na mbegu za Ubuntu au
Hii imetengenezwa na mbegu za ubuyu au