Matajiri wooote ni mali ya ShetaniHuu ni ubunifu mbaya.. Uliojaa dhuluma.. Mungu hapendi
Mganga wa kienyeji...wenyewe kina Mrindoko wanajiita walimwengu. Wana energy kwenye levels za kushangilia kukimbiza mwenge Tanzania nzima π π π π πMshana jr mimi naamini maubinifu yote haya yanatokana na wewe kuwa na mambo makubwa ya kiroho.?
Yes, nimetafuta hiyo liquid inaitwa epoxy resin naona bei yake ni nzito kidogo, about 100k per litreVery simple creation but amazing
Hii imetengenezwa na mbegu za Ubuntu au
Hii imetengenezwa na mbegu za ubuyu au