Nakushauri broda kweli kabisa uwepo...Kwa kutizama mazingira, nakutabiria shida kwenye uchumba wenu na WL, maana alikuwa anamnywesha Martins Derimto, huku akipewa airtime na Crashwise...!
Njoo tu mkuu, mi siri zingine sikwambii, watu wazima sisi bana!
Mamito hapo no. 6 naomba maelezo tafadhali kabla my force per unit area haijashuka!!There are currently 12 users browsing this thread. (9 members and 3 guests)
Hahaha Mkuu naona hapo juu hii ni sababu nyingine itakayonifanya nisikose hii trip ili kulinda mali zangu! Naona Crashwise na Derimto wameanza kutoana ngeu! :whoo:
Hope she is not WL!!! teh teh teh!!
Force per unit area =Pressure!Mamito hapo no. 6 naomba maelezo tafadhali kabla my force per unit area haijashuka!!
Nakushauri broda kweli kabisa uwepo...Kwa kutizama mazingira, nakutabiria shida kwenye uchumba wenu na WL, maana alikuwa anamnywesha Martins Derimto, huku akipewa airtime na Crashwise...!
Njoo tu mkuu, mi siri zingine sikwambii, watu wazima sisi bana!
Mamito hapo no. 6 naomba maelezo tafadhali kabla my force per unit area haijashuka!!
Force per unit area =Pressure!
P=F/A, But from the fact that the area on which the force acts is quite big, then you should have a small pressure...(area is big coz of the long distance between Dar and Ar!..huh!)
Chodechode mwenyekiti wangu usifanye hii biashara, mwache Kimey aje atoe maelezo kwanini alimwacha mrembo kama wiselady huku Arusha na asipotoa maelezo ya kulinidhisha nitaendelea na mchakato ilikukomesha vitabia vyao vya kuacha wake zao mikoa na kuenda kufanya biashara mikoa mingine...Lakini una shing' ngapi nikupe siri kwa PM?!
Nakushauri broda kweli kabisa uwepo...Kwa kutizama mazingira, nakutabiria shida kwenye uchumba wenu na WL, maana alikuwa anamnywesha Martins Derimto, huku akipewa airtime na Crashwise...!
Njoo tu mkuu, mi siri zingine sikwambii, watu wazima sisi bana!
Unakaribishwa sana mkuu..nitakuwepo huko naomba msinisahau kwenye msafara wenu
Ni kweli nilisema hivyo, lakini kuna wakati mlikuwa mnazidisha naniliu, hadi kuna time nikam'DIPU' Kimey..!PJ bana! si wewe ulitusisitiza tuonyeshe upendo,,caring,and hospitality???si wewe?hicho kilichofanyika ni kdgo sana huwezi linganisha na yatakayo fanyika kwa Kimey,,lol
nitakuwepo huko naomba msinisahau kwenye msafara wenu
Ni kweli nilisema hivyo, lakini kuna wakati mlikuwa mnazidisha naniliu, hadi kuna time nikam'DIPU' Kimey..!
hahaha Mkuu hapa itabidi ni apply "Jet Force", uki apply JET force distance inakua ndogo kwa saa!Force per unit area =Pressure!
P=F/A, But from the fact that the area on which the force acts is quite big, then you should have a small pressure...(area is big coz of the long distance between Dar and Ar!..huh!)
hahaha thats my swirr, I have no more fear sasa!PJ bana! si wewe ulitusisitiza tuonyeshe upendo,,caring,and hospitality???si wewe?hicho kilichofanyika ni kdgo sana huwezi linganisha na yatakayo fanyika kwa Kimey,,lol
:kiss: ok worry not naanza kupaki sasa!Usisikilize maneno ya watu swirry,wapo kutugombanisha!me and u only!haya anza kupaki nguo:hug:
hahaha mkuu hapa nandaa malezo kabsaa kama page tano ivi!! maana nimeona madhara yake sasa!Chodechode mwenyekiti wangu usifanye hii biashara, mwache Kimey aje atoe maelezo kwanini alimwacha mrembo kama wiselady huku Arusha na asipotoa maelezo ya kulinidhisha nitaendelea na mchakato ilikukomesha vitabia vyao vya kuacha wake zao mikoa na kuenda kufanya biashara mikoa mingine...
Anza kupaki nguo, ukifika stendi utujulishe, ili Derimto nae apaki nguo zake toka chumbani kwa WL,achape lapa kukupisha!...na utakapoondoka tutakusindikiza na kumpitia cRASHWISE, ajirudie zake hapo ghetto!Usisikilize maneno ya watu swirry,wapo kutugombanisha!me and u only!haya anza kupaki nguo:hug:
Mimi mwenyewe namshangaa...Ndio maana sijathubutu kusema wala kumwambia chochote juu ya mahusiano yenu ya KIMAPENZI na WL!Chodechode mwenyekiti wangu usifanye hii biashara, mwache Kimey aje atoe maelezo kwanini alimwacha mrembo kama wiselady huku Arusha na asipotoa maelezo ya kulinidhisha nitaendelea na mchakato ilikukomesha vitabia vyao vya kuacha wake zao mikoa na kuenda kufanya biashara mikoa mingine...
hahaha thats my swirr, I have no more fear sasa!
:kiss: ok worry not naanza kupaki sasa!
Anza kupaki nguo, ukifika stendi utujulishe, ili Derimto nae apaki nguo zake tokaa chumbani kwa WL,achape lapa kukupisha!...na utakapoondoka tutakusindikiza na kumpitia cRASHWISE, ajirudie zake hapo ghetto!