Jf-arusha wing...safari updates

Kuwa mpole wewe,,,,,utakaa na dreva ohooo
Looo!...
Kwani kukaa na dereva shida nini!..Umejuaje kama dereva si mwanamke!...Katika safari zote tulizoendaga porini Preta huwa analeta madereva wasichana saa saba kasoro!...utashangaa!
 
Looo!...
Kwani kukaa na dereva shida nini!..Umejuaje kama dereva si mwanamke!...Katika safari zote tulizoendaga porini Preta huwa analeta madereva wasichana saa saba kasoro!...utashangaa!

Sitaki kuamini kuwa sasa hivi uko na Derimnto!!!!!!!!!ntamuomba Preta kipindi hiki alete dreva wanaume
 
tutakuwa na longbase kama tisa hivi na zote zinatakiwa zijae....jamani jamani......

Nafikiri yoooooote kwisha. Safari imeiva. Sina haja ya kuja kesho tena. Mi nambieni tunahitaji nini. Ila lunch za naazi ziko poa.
 
Sitaki kuamini kuwa sasa hivi uko na Derimnto!!!!!!!!!ntamuomba Preta kipindi hiki alete dreva wanaume

wiselady...orodhesha wale wote wanaokuchokoza.......nimetafuta gari la wazi watakaa huko na walivyo waoga na huko msituni kulivyo na tembo ndio watakoma....andbeyond wamenipatia hilo gari kwa ajili yao
 
Nafikiri yoooooote kwisha. Safari imeiva. Sina haja ya kuja kesho tena. Mi nambieni tunahitaji nini. Ila lunch za naazi ziko poa.
Tunahitaji inputs zako ambazo tunaamini ni za busara...Penye wazee hapaharibiki kitu Mkuu!
 
njoo bana......kwa nini lakini
Ntakuja kwenye saa 11 hv. Ntawakuta wapi? Infact nitakuwa A town tangu mchana saa 8hv. Mengi tutaongea baadaye. Ila mwana hii miguu inauma balaa. Cjui ni mbuzi zinaanza kufanya kazi.
 
Preta akiwepo add me to the list too
Goooooosh!
So asipokuwepo mkuu wangu ndo basi hatukuoni?...

Mkuu, kuwepo atakuwepo, lakini amebukiwa na Acid, Kimey, Asprin, Teamo, Finest, Crashwise, Chauro, PangaLa Shaba, Kindumbwendumbwe, Kipipa-Ayubu, Mfamaji, Cha-Upepo, Ngiwaranecha, St.RR, GY, cHA-pOMBE, Kaka-Kiiza na Kimbuzimbuzi wa jukwaa la Siasa...
Sasa ni nguvu yako broda...lakini kila kitu ni salama!
Karibu kaka!
 
Nafikiri yoooooote kwisha. Safari imeiva. Sina haja ya kuja kesho tena. Mi nambieni tunahitaji nini. Ila lunch za naazi ziko poa.

Eeka Mangi tafadhali ks usikose,,na kwa taarifa yako tumeshakutengea kiti utakuwa karibu na mwenyekiti kwa mawili matatu.
 
wiselady...orodhesha wale wote wanaokuchokoza.......nimetafuta gari la wazi watakaa huko na walivyo waoga na huko msituni kulivyo na tembo ndio watakoma....andbeyond wamenipatia hilo gari kwa ajili yao

Preta asante kwa kunijali,,,wasumbufu ni hawa wafuatao
1. PakaJimmy(chair)
2.Mzee wa Rula
3.Derimnto
4.Preta kdgo maana haleti madreva wa kike
 
Eeka Mangi tafadhali ks usikose,,na kwa taarifa yako tumeshakutengea kiti utakuwa karibu na mwenyekiti kwa mawili matatu.

Nawapata wapi sasa. In hour to come nitakuwa A town. Check PM kwa mawasiliano
 
Preta asante kwa kunijali,,,wasumbufu ni hawa wafuatao
1. PakaJimmy(chair)
2.Mzee wa Rula
3.Derimnto
4.Preta kdgo maana haleti madreva wa kike
Afadhali sipo kwenye list ya wanakusumbua inaimanisha mimi niko upande ule mwingine....
 
Hangaikeni mkimaliza mniambie utaalamu hautaki kelele namalizia majukumu machache ntarudi

Mkuu, na wewe sasa too much...WL unammiliki, ukaachiwa..sasa unataka kummiliki na huyu tena?...Mwachie ELTORO bana!...Hizo hela zako unapoteza bure...Ile laki uliyompa juzi amekuja nayo mahali jana tukaimaliza!...
 
Preta asante kwa kunijali,,,wasumbufu ni hawa wafuatao
1. PakaJimmy(chair)
2.Mzee wa Rula
3.Derimnto
4.Preta kdgo maana haleti madreva wa kike

Hivi unajua we bidada utapigwa ushindwe kwenda safari!...Dawa ni kukuumiza ili Derimto akukatae, halafu najua utaanza kuni'DIPU DIPU' kama ulivyokuwa unafanya mwaka jana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…