Fidel vp mambo?
Wewe vp mkuu, ...unga tela bana!
Jana tulikuwa mahali na C/Mangala..anasema unampagawishaga mzee!
Preta huyoooo anakuja sasa, ngoja mliokuwa mkimng'ang'ania nione nani anapanda dau...
Msijifanye kusemasema wakati hayupo!
PakaJimmy, mbona I cant PM
Nataka kujoin, halafu nitamshawishi Freetown ajoin pia
MAelekezo please jinsi ya ku PM, I cant see the icon
Ndo nakupa Wikileaks hivyo!
Kimey si mtu mzuri kabisa...si mzuri kwako!
Fidel vp mambo?
Wewe vp mkuu, ...unga tela bana!
Jana tulikuwa mahali na C/Mangala..anasema unampagawishaga mzee!
Kimey ndugu yangu kabisa mkuu PJ...LOL sina wasi wasi naye wala hana wasi wasi na mimi....
PJ hapo unamaanisha Cheusimangala au avatar yake?
jaman namtafuta FAB jamani.....!anybody seen FAB?....i wanna fabricate her
Umesha mPM namba Pope Keizer? hahaha tatizo lako wewe hommie ni kabaila,bepari na mchoyo!! lazima uwe na wasiwasi :A S-alert1:Katika maswala yepi? Mi Kimey nna wasiwasi naye sana asee.
Mkuu tafadhari usiniharibia network maana hukawii kuchafua hali ya hewa.
Kimey ndugu yangu kabisa mkuu PJ...LOL sina wasi wasi naye wala hana wasi wasi na mimi....
hahahaha!yuko kule kny mipango ya nje.
Umesha mPM namba Pope Keizer? hahaha tatizo lako wewe hommie ni kabaila,bepari na mchoyo!! lazima uwe na wasiwasi :A S-alert1:
Umesha mPM namba Pope Keizer? hahaha tatizo lako wewe hommie ni kabaila,bepari na mchoyo!! lazima uwe na wasiwasi :A S-alert1: