Jf-arusha wing...safari updates

Hii si wIKILeaks mkuu..ni live...pamoja na yote niliyoongea lakini mimi nakutambua wewe tu kuwa ndiye naniliu halali!...hawa wengine wanateseka!
The Following User Says Thank You to PakaJimmy For This Useful Post:

Kimey (Today)​
 
Mkuu PJ Kitendawili! Sema tega! Ukisikia Nyau nyau?


Haaa siibiwi bana...hata siku moja....
Ndo nakupa Wikileaks hivyo!
Kimey si mtu mzuri kabisa...si mzuri kwako!
 
PakaJimmy, mbona I cant PM
Nataka kujoin, halafu nitamshawishi Freetown ajoin pia

MAelekezo please jinsi ya ku PM, I cant see the icon
 
Preta huyoooo anakuja sasa, ngoja mliokuwa mkimng'ang'ania nione nani anapanda dau...
Msijifanye kusemasema wakati hayupo!
 
jaman namtafuta FAB jamani.....!anybody seen FAB?....i wanna fabricate her
 
Preta huyoooo anakuja sasa, ngoja mliokuwa mkimng'ang'ania nione nani anapanda dau...
Msijifanye kusemasema wakati hayupo!

Na kaka ake big braza ODM yuko hapa na mawani ake. Wote watakaomletea za kuleta nawacharaza bakora.
 
PakaJimmy, mbona I cant PM
Nataka kujoin, halafu nitamshawishi Freetown ajoin pia

MAelekezo please jinsi ya ku PM, I cant see the icon

Click kwenye jina lake hapo kushoto, kwenye drop down menu utaona sehemu imeandikwa Private Message, click, utakufungulia sehemu ya kuandika ujumbe....kisha click send....okayy....
 
Fidel vp mambo?
Wewe vp mkuu, ...unga tela bana!
Jana tulikuwa mahali na C/Mangala..anasema unampagawishaga mzee!

Mkuu mi nimeng'ang'aniwa sana hapa Manzese ndo maana mdomo umekuwa mzito kuthibitisha hii safari.

Nashukuru sana mkuu lakini naona ratiba zangu zimetaiti sana, ila inaniuma sana kuikosa
 
Katika maswala yepi? Mi Kimey nna wasiwasi naye sana asee.
Umesha mPM namba Pope Keizer? hahaha tatizo lako wewe hommie ni kabaila,bepari na mchoyo!! lazima uwe na wasiwasi :A S-alert1:
 
Umesha mPM namba Pope Keizer? hahaha tatizo lako wewe hommie ni kabaila,bepari na mchoyo!! lazima uwe na wasiwasi :A S-alert1:

Wewe na Roya sina imani na nyie...... hamuwezi kujumuika na sisi tuliosomea Soviet na Uchina. Mabeberu wabinafsi na makabaila wakubwa.
 
Umesha mPM namba Pope Keizer? hahaha tatizo lako wewe hommie ni kabaila,bepari na mchoyo!! lazima uwe na wasiwasi :A S-alert1:

Mpaka sasa hivi PM box yangu haijani alert kwamba kuna new PM kutoka kwa hommie apo....napata za wengine tu!
 
Na kaka ake big braza ODM yuko hapa na mawani ake. Wote watakaomletea za kuleta nawacharaza bakora.
Mbona walikuwa na st.RR hapa A-Town jumamosi, hvi hujaambiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…