basi jamani wana arusha kwa niaba yangu,dadaake na asprin na mjombaake na asprin tunawatakia TRIP NJEMA,mi narudi kule BAE system very shortly
sina haja ya kukuonyesha,ntaifunga mwenyewe
Noted mbona kamwezi kapo nusu inaonyesha haupo active!kimey hebu ingia facebook dakika sifuri tu....(nataka nijue inaendeshaje hiyo tukutuku huku unasurf maanake usalule-dar ni parefu sana)
What is that SOMETHING??..sitaki mimi bana..sitaki matatizo na rafiki zangu ooooh!...i dont like it'oooo!, idont want it'ooooo!
Sijui kwanini leo sijavaa mawani yangu wallah
hommire naona unaitafuta Mwanga sasa....unawahi kabisa kisusio...
Wape ishu mamaa la logistics....Huyo Asprin ni mbishi sana haamini kazi yako..Ngoja aone mwenyewe hiyo siku!
aisee PIIJEI hapo juu samahani kidogo nimeona kama TEAMO ametajwa hapo na kahusishwa na WL,vipi kunanini?(mimi ni mrs teamo,nimetumia aidii ake)
Goooooooshhhh!aisee PIIJEI hapo juu samahani kidogo nimeona kama TEAMO ametajwa hapo na kahusishwa na WL,vipi kunanini?(mimi ni mrs teamo,nimetumia aidii ake)
nAOMBA NIULIZE SHEMEJI..KWANZA POLE NA UZAZI...Kwani teamo alikwambia ana wake wangapi?aisee PIIJEI hapo juu samahani kidogo nimeona kama TEAMO ametajwa hapo na kahusishwa na WL,vipi kunanini?(mimi ni mrs teamo,nimetumia aidii ake)
Nimemuona kule kwa Eng. Smashar hebu cheki nae!Ngoja nifanye logustic hapa hommie....
Wana JF wa Arusha nawapa big up sana kwenye hili kusema kweli,,,,,,,msishangae wasafiri tukaongezeka ningeomba Preta aweke contigency ya long base nyingine.....
Kazi ya Preta naijua....eti dada P, nianze kusanya?
Nimemuona kule kwa Eng. Smashar hebu cheki nae!
@piiijeii inatosha bana wee (MIMI G MWENYEWE SASA)nAOMBA NIULIZE SHEMEJI..KWANZA POLE NA UZAZI...Kwani teamo alikwambia ana wake wangapi?
Nauliza tu, sitaki mgombane!...wewe ni yule wa kule Kitunda Kivule?
sanya sanya kabisa......halafu ujue ile menu nitaitaka
PJ hapo unamaanisha Cheusimangala au avatar yake?
Mkuu tafadhari usiniharibia network maana hukawii kuchafua hali ya hewa.
Mkeku mambo vp?mtajiju....cheusi ndani ya munyumba A-town....tunabamba sana kipande hii.......