Mpangp ni huo broda...
We rudi Bongo kwanza tuongee kwa ukaribu!
In togetherness nothing will be impossible ever.
Ngoja nisikilizie mpango mtaupangaje . . .
Then I will see what to decide on this
natamani sana members tujuane kwa sura nitacheka sana siku hiyo hasa kwa majina ya utani tunayotumia humu yaani itakua kituko sana
Ni Simba tu jamani....lolni simba tu unataka?....
Ni Simba tu jamani....lol
Siku hazigandi wangu.....ngoja tuje tena lazima ung'okeyeuwoooomiii......i lavu this uzi wallah.....
Next week nakuja Arusha kwa ajili ya mapumziko nipokeeni.
Siku hazigandi wangu.....ngoja tuje tena lazima ung'oke
hahaha hii ya sasa ni Kolabo inayokuja ! lazima tuchonge kinyagowapi wewe....kisiki cha mpingo hiki......
hahaha hii ya sasa ni Kolabo inayokuja ! lazima tuchonge kinyago
Nani kaziunganisha thread jamani?