Jf-arusha wing...safari updates

Was so great!
Good tings are rare in Life.!
Naamini hii itaboreshwa zaidi.
Haya Preta, endelea kuleta hadidu.
 
Last edited by a moderator:
 
Awamu hii mwalikeni Maxence Melo nikutane naye kwa kazi kubwa ninayompa .......................... ikiwezekana na Paw kwa virungu anavyoniangushia nimrushie kitu hahaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Paka Jimmy hakikisha hii kitu tunairudia tena jamani kwakweli ni nzuri sana tukikutana na kwenda mbuga za wanyama

UPDATE 2:
Kutakuwa na kikao cha Maandalizi Siku ya Jumanne, tarehe 14/12/2010, saa 11.00 kamili jioni...tumeweka muda huo kuwawezesha wanaotoka makazini waweze kuhudhuria.
Venue itatolewa kwa wale waliowasilisha namba zao kwa pioneers wa mpango huu, hivyo jitahidi kutuma namba yako kwenye namba iliyokuPM kwaajili ya suala hili.
UPDATE 3
Jana (14/12/2010)tulifanikiwa kuanzisha kikao(pilot-meeting), ambacho kilifanikiwa sana..Kwa ujumla ni kwamba tulitengeneza skeleton yote ya safari nzima, na matukio ya baada ya safari.
Tume'schedule kikao kingine kufanyika IJUMAA,17/12/2010, SAME VENUE, SAME TIME(0500PM)....
WITO WANGU KWA WALE AMBAO WAMEKOSA KIKAO CHA MWANZO, NAWAOMBA MSIKOSE KIKAO KIJACHO, ni muhimu sana, na ni burudani!
Baada ya kikao hicho cha Ijumaa tutatoa taarifa rasmi na FINAL kwa Umma wa JF juu ya taratibu za ushiriki(Mkono mtupu haurambwi).
Aksanteni tena.

UPDATE 4:
Maamuzi ya kikao cha jana ni kama ifuatavyo:

1.Safari itakuwa na awamu 2 ndani ya siku 1,ambapo ni(a)Kwenda Mbugani(b)Kikao na Mkuu Maxence..kwa maana hiyo kuwasili(wa mbali)ni 26/12, na safari 27/12.
2. Bajeti iliyoandaliwa inainclude Usafiri, Chakula, Vinywaji,(cold-drinks) na Viingilio getini.
Lakini pia baada ya kurudi Arusha, kuna gharama za Ukumbi-wa kukutania kwa Maongezi na Mkuu, Barbeque ya uhakika na Vinywaji, na zawadi ya Sungura kwa Mkuu, (tumesikia anapenda sana kufuga)!
3.Kwa bajeti hiyo, kila atayeungana nasi atachangia ths 50,000/=tu kama gharama ya kucover vitu hivyo vyote.
4.Kuna members ambao wako pamoja na sisi, tarehe hizo watakuwa na majukumu, lakini watachangia ili kuonyesha mshikamano.
5.Michango yote itumwe kwa M-PESA kwa namba 0762-320630.
6.Deadline ya michango hii ni tarehe 24/12/2010
7.Mliopo nje ya Arusha, tafadhali wahisheni contributions ili tuweke mambo sawa.
8.Eneo la kikao cha Maongezi baada ya Safari linahifadhiwa kwa sababu za Usalama.
5.Hali ya uthibitisho wa members mpaka leo iko hivi:

UPDATE 5:
Kikao cha mwisho ni kesho 23/12/2010, venue palepale. Muda saa 11 kamili.

Waliothibitisha kusafiri na kuchanga.
1.Preta
2.Mzee wa Rula
3.SaharaVoice.
4.Crashwise
5.FreeTown
6.EekaMangi
7.Derimto
8.Wiselady
9.PakaJimmy
10.Hmethod
11.Lilyflower
12.Chipukizi.
13.Ncha
14.MrMiela
15.Loner


Ambao wameonyesha mwitikio chanya lakini hawajachanga!
15.Bucho
16.Baba Ubaya
17.Kings01
18.Msindima
19.Margwe
20.Mzee wa Serengeti
21.Ndallo
22.Ntavyo
23.Samora
24.Vince
25.Ngongo.
26.Konakali(18/12)
27.Dar,Moshi, Moro, Dom and other destinations comrades.
[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…