Jf-arusha wing...safari updates

Jf-arusha wing...safari updates

Mimi mwenyewe namshangaa...Ndio maana sijathubutu kusema wala kumwambia chochote juu ya mahusiano yenu ya KIMAPENZI na WL!

Ee Mungu naomba(kimey)asisome hapa. Nahitaji kupanda mlimani asap maana naona hali ya hatari. PJ niagie
 
Usisikilize maneno ya watu swirry,wapo kutugombanisha!me and u only!haya anza kupaki nguo:hug:

Mi kwa hali hii naona nije full package kabisa na mtu wangu......:embarrassed:
 
asante waheshimiwa nshakaribia lakini sababu ntakuwa huko kwa ajili ya kuhesabiwa kile kinywaji chetu cha mbege msikisahau

Meneja wangu Chauro,
Karibu sana...
Ishu hii ni wazi kwa wa-JF wote, vigezo na masharti kuzingatiwa.
NimekuPM kukupa mambo mbili-tatu..!
Love to you Mkuu!
 
Mi kwa hali hii naona nije full package kabisa na mtu wangu......:embarrassed:
Hii ni optional zaidi..unaweza fanya hivyo au waweza pata kampani hukuhuku. shida ni kwamba hao wanamgombania WL kwasababu mume wake ni MZUNGU, na wanadhani watapata URITHI huyo mzungu akipatwa na lolote!!
 
Hii ni optional zaidi..unaweza fanya hivyo au waweza pata kampani hukuhuku. shida ni kwamba hao wanamgombania WL kwasababu mume wake ni MZUNGU!


Mkuu PJ ina maana wapo kimaslahi zaidi? Siamini.....
 
Ee Mungu naomba(kimey)asisome hapa. Nahitaji kupanda mlimani asap maana naona hali ya hatari. PJ niagie

Hatasoma babe! Usijali Niko nawe akijidai shababi tu inakula kwake tena wa moshi wala hanisumbui kichwa
 
kaizer kaizer?how can u dare?????????
Unamtaka na Kaizer tena?...gooosssshhh-ngufu-ya-mamba-iko-kumayi!!
Derimto na Crashwise na Mzungu na MZEE WA RULA watakumeza wewe...OHOOOOO!
Kwenye kikao cha usuluhishi sitakuwa mwenyeekiti mimi....!
 
Mkuu PJ ina maana wapo kimaslahi zaidi? Siamini.....
Hawana mapenzi wale...ila kwa wewe mkuu, wewe unajua kupenda bana...kama uliweza kuuza nyumba ya URITHI na ukaniagiza nimletee WL zile hela zote, kwakweli wewe mkuu wangu uko fit aisee!
 
Hii ni optional zaidi..unaweza fanya hivyo au waweza pata kampani hukuhuku. shida ni kwamba hao wanamgombania WL kwasababu mume wake ni MZUNGU, na wanadhani watapata URITHI huyo mzungu akipatwa na lolote!!

hapo ndo nnapokupendea!!wanachotamani ni hivi vinyumba vya msonge ingekuwa za kisasa!!!
 
asante waheshimiwa nshakaribia lakini sababu ntakuwa huko kwa ajili ya kuhesabiwa kile kinywaji chetu cha mbege msikisahau
Uzuri ni kwamba dada Pelosi tulikuwa nae jana, na yeye amesomeshwa na hela ya mbege hadi hapo alipo, na uzuri mwingine ni kwamba anatengeneza MWENYEWE!...HIVYO ITAKUWEPO!
 
Unamtaka na Kaizer tena?...gooosssshhh-ngufu-ya-mamba-iko-kumayi!!
Derimto na Crashwise na Mzungu na MZEE WA RULA watakumeza wewe...OHOOOOO!
Kwenye kikao cha usuluhishi sitakuwa mwenyeekiti mimi....!

unapenda kuniwekea maneno mdomoni eeh??unachofurahia ni hizo bia unazopewa,,,uchair uko palepale usikimbie kivuli chako
 
Hii habari mbona Baba Askofu hana taarifa nayo? U need my blessings guys...

Ngoja nicheki ratiba za Kanisa, I will get back to PJ
 
Uzuri ni kwamba dada Pelosi tulikuwa nae jana, na yeye amesomeshwa na hela ya mbege hadi hapo alipo, na uzuri mwingine ni kwamba anatengeneza MWENYEWE!...HIVYO ITAKUWEPO!

Hivi PJ suprise zinaruhusiwa kwenye hii trip? like mtu akiamua ku-pop in tu!
 
hapo ndo nnapokupendea!!wanachotamani ni hivi vinyumba vya msonge ingekuwa za kisasa!!!

Pamoja na kushika karata zote ninajitoa rasmi naona inakuja kashfa ya mali napisha uchunguzi huru Liliflowers, preta, Pelosi mko wapi? Maana haya maji marefu nampisha Kimey
 
Hii habari mbona Baba Askofu hana taarifa nayo? U need my blessings guys...

Ngoja nicheki ratiba za Kanisa, I will get back to PJ
Oooh Virgin Mary, mother of Christ!..
Hivi mbona tulimtuma katekista Mateo, na akasema alimkuta sister Paulina na yule mpishi Dominiko...Wewe eti ulienda kwa mzee Fransisko kule Parokiani St. Gaspar kumpelekea sakramenti ya wagonjwa.
Lakini Mateo anasema alikuachia ujumbe wetu wa makaribisho!..
Karibu sana Askofu...safari yetu inahitaji sana sala ya rozari kila kituo tutakachosimama.
 
Oooh Virgin Mary, mother of Christ!..
Hivi mbona tulimtuma katekista Mateo, na akasema alimkuta sister Paulina na yule mpishi Dominiko...Wewe eti ulienda kwa mzee Fransisko kule Parokiani St. Gaspar kumpelekea sakramenti ya wagonjwa.
Lakini Mateo anasema alikuachia ujumbe wetu wa makaribisho!..
Karibu sana Askofu...safari yetu inahitaji sana sala ya rozari kila kituo tutakachosimama.

Aaah... si unajua hawa vijana wa siku hizi wanasahau sana... wasamehe lakini, hakijaharibika kitu

Nikishindwa kabisa, nitamwambia St. RR au Kimey ampitie Sr. Magdalena aje kuniwakilisha
 
Back
Top Bottom