Jf awards (nominees)

Hehe huezi jua ndo ulikua mbadala wa id yake kabla hajapotea na ile...natania lakn

Apa anatusomaa tu
Hahaha hahaha hahaha
Nakumbuka kuna kipindi walikuwa wakigombana kabisaaa!!

Ila ya humu nayo mengi ujue! Akuje tuu atusalimie jamanii...

Anatusoma kimya kimya, hatuonei huruma tunavyommiss eti?!
 
Bishoo bora nakalisha ote Babaako!!Me napiga vitu dunia ya elfu18 ariff,Nikiweka vitu vinakaa sema tu Bongo bahati mbaya,Machalii ote hao kina pancho boy,Fundi bishoo sijui beira wanaangalia kwangu,Waaooow me.
 
mkuu asante sana kwa kuniona , kumbe na mimi JF ni maarufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…