Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Bandugu niwatakie heri ya pasaka..kwa wale wa baa, lounge, club tutakutana usiku.
Tuanzisheni tuzo za jf mshindi atashinda kutokana na mchango wake kwenye jukwaa husika, na aina ya michango yake, nyuzi zake zinahusu nini!
Kura zitapigwa na wana jf wenyewe hapa hapa!
1:mwanamichezo bora
-Okwi boban sunzu.
-Ndumbula ndema
-king ngwaba
-Don crelicuzio(huyu jina lake gumu)
-gentamycim (mwite popoma tu)
2-mchangamsha genge bora
-zero IQ
-Demiss
-ndege John
3-jukwaa la celebrity (wambeya bora)
-Warumi
-hance mtanashati
-Numbisa
-Raynavaro
-msaga sumu
4-jukwaa la chini
-msafwa
-castr
-bugeraha
-jestikila
5-jukwaa la siasa
-britanicca
-paschall mayala
-jinga lao
-malcom lumumba
6 jukwaa la mahusiano
-cute love
-mama Debora
-mrs mol
7 jukwaa la Tech &science
-chief mkwawa
(anayetaka kumchalenge aje)
8 mwana jf mpole
-mshana jr
-Paschal mayala
-khantwe
-lucas Mobutu
-madam s
-sky eclat
9 sangoma bora
-mshana jr
-Likud
-mzizi mkavu
10 bishoo wa jf
-fundi bishoo
-beira Boy
-prince mikazo
-pancho Boy (kujikubali muhimu) 😂
Wengine mnaruhusiwa kuongezea.
Kura zinaaanza kupigwa mwisho ni Leo saa sita usiku.
Washindi watatangazwa hapa baada ya kura kuhesabiwa..
That's how we do
Tuanzisheni tuzo za jf mshindi atashinda kutokana na mchango wake kwenye jukwaa husika, na aina ya michango yake, nyuzi zake zinahusu nini!
Kura zitapigwa na wana jf wenyewe hapa hapa!
1:mwanamichezo bora
-Okwi boban sunzu.
-Ndumbula ndema
-king ngwaba
-Don crelicuzio(huyu jina lake gumu)
-gentamycim (mwite popoma tu)
2-mchangamsha genge bora
-zero IQ
-Demiss
-ndege John
3-jukwaa la celebrity (wambeya bora)
-Warumi
-hance mtanashati
-Numbisa
-Raynavaro
-msaga sumu
4-jukwaa la chini
-msafwa
-castr
-bugeraha
-jestikila
5-jukwaa la siasa
-britanicca
-paschall mayala
-jinga lao
-malcom lumumba
6 jukwaa la mahusiano
-cute love
-mama Debora
-mrs mol
7 jukwaa la Tech &science
-chief mkwawa
(anayetaka kumchalenge aje)
8 mwana jf mpole
-mshana jr
-Paschal mayala
-khantwe
-lucas Mobutu
-madam s
-sky eclat
9 sangoma bora
-mshana jr
-Likud
-mzizi mkavu
10 bishoo wa jf
-fundi bishoo
-beira Boy
-prince mikazo
-pancho Boy (kujikubali muhimu) 😂
Wengine mnaruhusiwa kuongezea.
Kura zinaaanza kupigwa mwisho ni Leo saa sita usiku.
Washindi watatangazwa hapa baada ya kura kuhesabiwa..
That's how we do