Hapo nimekusoma mkuu. Incase of anything nitakuuliza zaidi maana nategemea maybe baada ya miaka kadhaa nisepe kidogo maana wasifu wangu sitaki uje kusomwa, alizaliwa morogoro na kufia kahamaZote mkuu kikubwa upate pesa pia professional nao wanapiga kazi za kawaida tu mda wa ziada
Ukienda usiniache! Twende wotee mimi sitaki kuzaa watoto weusi nimechoka joto pia na vumbiHapo nimekusoma mkuu. Incase of anything nitakuuliza zaidi maana nategemea maybe baada ya miaka kadhaa nisepe kidogo maana wasifu wangu sitaki uje kusomwa, alizaliwa morogoro na kufia kahama
Exposure muhimu
Nilijua tu kahusika maana umeiongea kwa confidence kama unanijua vizuri..Yes! π
Alisema mengi muhimu wewe ni mtu mzuri nikiongea sana itakua umbeaπ
Tuchat mara ngapi?Tutenge siku tuchati pm
Unataka kusemaje asee ephen kwamba sisi black ukituangalia huoni reflection ya watoto wako πUkienda usiniache! Twende wotee mimi sitaki kuzaa watoto weusi nimechoka joto pia na vumbi
Karibu sanaa!Nilijua tu kahusika maana umeiongea kwa confidence kama unanijua vizuri..
Yote kwa yote. Shukrani sana kwa compliment binti wa Yesu πππ½
Nataka hata wakiwa weusi baba yao awe anaishi nje sio Bongo kwa mafisadiUnataka kusemaje asee ephen kwamba sisi black ukituangalia huoni reflection ya watoto wako π
Ahaa kiufupi ndoa kwao ni sehemu ya malengo πNataka hata wakiwa weusi baba yao awe anaishi nje sio Bongo kwa mafisadi
πππ Mwashambwa itakuaje?Nataka hata wakiwa weusi baba yao awe anaishi nje sio Bongo kwa mafisadi
Hajui the darker the berry, the sweeter the juice πTupia
Na waafrica tunapendwa kinoma π
Muhimu nifike kwanza huko majuuAhaa kiufupi ndoa kwao ni sehemu ya malengo π
πππππWow!Hajui the darker the berry, the sweeter the juice π
Tuongee mambo yetuπππ Mwashambwa itakuaje?
Sio hivyo wanaona tuna heshima na maadili.Hajui the darker the berry, the sweeter the juice π
Huyu naona kamuweka reserve ili asipoenda majuu bhasi apate chance ya viti maalum au kuwa mke wa mkuu wa mkoa ππππ Mwashambwa itakuaje?
Kwahiyo ushapata mchuchu wa kizungu huko!πSio hivyo wanaona tuna heshima na maadili.
πππHuyu naona kamuweka reserve ili asipoenda majuu bhasi apate chance ya viti maalum au kuwa mke wa mkuu wa mkoa π
Hii ni mara ya kwanza naisikia japo kwa USA hiyo ni compliment wanapewa black Africans ukitoa Nigerians.Sio hivyo wanaona tuna heshima na maadili.
Mimi napenda wabongo wenzangu ππKwahiyo ushapata mchuchu wa kizungu huko!π
Kwa hiyo ephen kachafukwaπHii ni mara ya kwanza naisikia japo kwa USA hiyo ni compliment wanapewa black Africans ukitoa Nigerians.
Black Americans humko twitter wanadharau sana Africans japo huwa inawauma Africans kuwa successful kuwazidi kwa kiasi flani kwenye ardhi yao