JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Zote mkuu kikubwa upate pesa pia professional nao wanapiga kazi za kawaida tu mda wa ziada
Hapo nimekusoma mkuu. Incase of anything nitakuuliza zaidi maana nategemea maybe baada ya miaka kadhaa nisepe kidogo maana wasifu wangu sitaki uje kusomwa, alizaliwa morogoro na kufia kahama

Exposure muhimu
 
Hapo nimekusoma mkuu. Incase of anything nitakuuliza zaidi maana nategemea maybe baada ya miaka kadhaa nisepe kidogo maana wasifu wangu sitaki uje kusomwa, alizaliwa morogoro na kufia kahama

Exposure muhimu
Ukienda usiniache! Twende wotee mimi sitaki kuzaa watoto weusi nimechoka joto pia na vumbi
 
Yes! 😂
Alisema mengi muhimu wewe ni mtu mzuri nikiongea sana itakua umbea😉
Nilijua tu kahusika maana umeiongea kwa confidence kama unanijua vizuri..

Yote kwa yote. Shukrani sana kwa compliment binti wa Yesu 😊🙏🏽
 
Sio hivyo wanaona tuna heshima na maadili.
Hii ni mara ya kwanza naisikia japo kwa USA hiyo ni compliment wanapewa black Africans ukitoa Nigerians.

Black Americans humko twitter wanadharau sana Africans japo huwa inawauma Africans kuwa successful kuwazidi kwa kiasi flani kwenye ardhi yao
 
Hii ni mara ya kwanza naisikia japo kwa USA hiyo ni compliment wanapewa black Africans ukitoa Nigerians.

Black Americans humko twitter wanadharau sana Africans japo huwa inawauma Africans kuwa successful kuwazidi kwa kiasi flani kwenye ardhi yao
Kwa hiyo ephen kachafukwa😁
 
Back
Top Bottom