Kwanini unanifokea?????🤔Usinitaje pamoja na hao ma boss tafadhali 🤔
Ndio sina mtaji! Ningekua nao ningenunua 1TB hujui kufutafuta ni umaskinihiyo umesema wewe,kwani we ukinunua simu ya gb 64 na ukawa unafuta vitu inamaana hauna mtaji wa kutosha..??
😜Kwanini unanifokea?????🤔
Hayakuhusuukwani hamkupeana vya asubuhi mbona mnazalilishana kwenye jumuhia mbalimbali..?
Kupeana nini mkuu??kwani hamkupeana vya asubuhi mbona mnazalilishana kwenye jumuhia mbalimbali..?
Utamu😎Kupeana nini mkuu??
Hahahahahah kumbeUtamu😎
Ilikuwa wakorea walee nimesahau mwaka aisee sema hii story tuachane nayoNihadithie😂
Unanisingiziavizazi
TB 1 ndogo sana inatakiwa TB 5000Ndio sina mtaji! Ningekua nao ningenunua 1TB hujui kufutafuta ni umaskini
😁😁min hebu kakichape hichi kitoto kinakwarua kila mtu huku!..😁