Hahaha
Mimi nimesema tu ..Habari nzuri
Kwahiyo nawe unalo..?
Huo sina kabisaKwahiyo hata uzuri unao kwa mbali..?
ππππKenzy naomba usiniudhi tafadhalNimekufariji tu nawe uone unamambo makubwa ila hamna kitu komwe tupu..π
Hahahaha weweKitaeleweka tu.. sema au unene kwa picha..?
πππMungu ninusuru mimi maana naona bloku hii hapa wallahHeri Mimi sijala wewe na likitovu lako likubwa unalakusema..?
Stick kwenye pair moja.. au mbili ziwe kama wakeoNa utashangaa sanaa..π
Kipindi naanza nilianzaga na hii nikienda kwenye zengine nakula za uso baadae nikaanza kuchanganya,nikahamia kwa USDJPY nanyengine nyingi tu
Umeona eeh rafiki zangu hao ππNa utashangaa sanaa..π
Kipindi naanza nilianzaga na hii nikienda kwenye zengine nakula za uso baadae nikaanza kuchanganya,nikahamia kwa USDJPY nanyengine nyingi tu
NimemuonaKaja sasa
Vikomwe ni kitu gani eti?Hahaha
Habari ya leo rafiki
Hujui wenye vikomwe wanakuwaga warembo kichizi .
Ni forehead MkuuVikomwe ni kitu gani eti?