Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄
Tupo mkuu... Bado tunafukua makaburi ya putinTuttie nani kakukosesha usingizi..?
Anafain we ngoja tu🤣🤣 Na Mimi kanikosesha huyohuyo mtoto wa mtu..!
Mwambie akulaze
Hamna... Tunapekua vita vyao... Ili asbh kukuche tu, mkuuPutin kafanya nini Tena..?
Mmh ndo aniamshe sa tisa unajuwa sijapata usingizi mpk sahii.atatoa tuHaha! Mpenzi wako huwezi mtoza tozo acha akusumbue asipokusumbua yeye amsumbue nani..?
🤣usimfanyie hvyo mwenzio mwache alale sasa wewe si upo huku na watoto wazuri wacha alale utamuamsha kwenye chaasubuhi...Haha! Wangu kaamua awe mtundu! Amevunga kununa anataka kulala lkn usingizi haumpati nimemwambia tunakesha wote na kweli tunakesha..😂
Mambo🤣usimfanyie hvyo mwenzio mwache alale sasa wewe si upo huku na watoto wazuri wacha alale utamuamsha kwenye chaasubuhi...
Poa .Mambo
Mrembo unakosaje usingizi??😃Poa .