πππππΎββοΈππΎββοΈ Hapana,,ila jf family ππMkuu una mtoto mwingine mbali ya yule wa marioo aliyetoka ndukii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua kiasili kabisa mimi ni mafia na sipendagi unyonge hauwezi kuamini nilisimamia ukucha mtoto wa kilokoleView attachment 3027748
Yamebadilika upande upiNi kweli kabisa ila mambo yamebadilika.
Uaminifu ni sifuri kabisa.Yamebadilika upande upi
Uaminifu ni 0βUaminifu ni sifuri kabisa.
Na Mimi piaUaminifu ni 0β
Uaminifu ni 50% β
Kuna watu ni waaminifu mkuu
Mimi nikiwemo
Mkeo alipona tumbo?Na Mimi pia
ππππUaminifu ni 0β
Uaminifu ni 50% β
Kuna watu ni waaminifu mkuu
Mimi nikiwemo
'subiri nitakupigia' hapa ndio unanipigia?πNimekumiss pia ππ
Alichoma hadi sindano hospital ndio likatuliaMkeo alipona tumbo?
Mpe pole wifiAlichoma hadi sindano hospital ndio likatulia
π₯² Asante Kuna wengine humu wake zao ni wanaijeria wa Instagram wanaiba picha wanaleta huku Cc 100 othersMpe pole wifi
Naona unaanza kurusha missiles asubuhi asubuhi we huogopi??ππ₯² Asante Kuna wengine humu wake zao ni wanaijeria wa Instagram wanaiba picha wanaleta huku Cc 100 others
Mbona wanaigeria hawafikii wa tz kwa uzuri hata chembeππ₯² Asante Kuna wengine humu wake zao ni wanaijeria wa Instagram wanaiba picha wanaleta huku Cc 100 others
Ukitaka ujue hili angalia tamthilia za wabongo na wanaigeriaMbona wanaigeria hawafikii wa tz kwa uzuri hata chembeπ
Naunga mkono hojaMbona wanaigeria hawafikii wa tz kwa uzuri hata chembeπ
Watoto wadogo hao hawana hoja kazi kurusha maneno mengii na kuandika gazeti kubwa wanajitekenya na kucheka wenyeweNaona unaanza kurusha missiles asubuhi asubuhi we huogopi??π