JF Chat: All members chat

Kipindi hiko nilikuwa sijui kufunga. Baada ya hapo nimeifunga. Ila naelewa huyo mtu ni mshamba na mswahili. So anahisi na hapa ni huko anakoishi agombanishe watu ndiyo furaha yake. Miye nitamghecha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu mghecheee jamaniii
 
Si mlikuwa mnamchekelea endeleeni kumchekea. Kichaa akishika jiwe kumrushia jirani yako usifikiri ataishia hapo, lazima akurudie na wewe uliyebakia. Bahati mbaya wengine unacheka nao pembeni wanakung’ong’a
Anawaonea wenginee tyuuh, anigusee mie aone ntavyo msanukiaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku hiyo mfanye niwepooo, na mie niweke amsha amsha.
 
Woyooooooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…