Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What are you doing now..?
Uoe tu rafiki , hapo upweke kwa heri ...Nipo good gooder upweke tu ndo umenitanda..!
Nimezoea kukuona sehemu mbalimbali your silence walker..
Wakati huo ndo akili zinanikaa sasa! TID ndo yupo top ule wimbo wa siamini ulikuwa unanipa hisia fulani hivi very sweet yani..
Napoteza muda siku iende .Why jf..?
Najifunza mengi pia hicho ndo kilinivutia humu sana .Can't tell me upo humu kwaajili tu ya kupoteza muda!.. kipo haswa kilichokuvuta humu..
Ungeenda kula kwa mama Claree unadhani hayo yangekukuta? 😅😅Happiest Birthday mdogo wangu mzuri ila mkorofi KENZY Mungu azidi kukutunza daima..!!
Bora wewe umekula ugali, nakula viazi mbatata vilivyokaangwa na vinyama vidogo vidogo ambavyo sina hakika hata kama ni vya ng'ombe, shida ni kuwa nimejaziwa pilipili kama nakomolewa, niko hapa nalia lakini siachi..
Depal
Wow Jf siku iz kumebarikiwaPoa rafiki
Habari yako
Uje uzurule na kwanguUoe tu rafiki , hapo upweke kwa heri ...
Ooh nazurura tu humu ndani
Huku kwema kabisa mkuu. Uwe na jioni njemaSalama habari mrembo
Huku kwema kabisa mkuu. Uwe na jioni njema