JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Dada humuhumu utapata we uwe unahudhuria tu au kaanzishe uzi kule love connect sijui.. majukwaa mengine kuyatembelea mpk sijui iweje..🤣
Hebu fanya fanya basi usinifanyie hivyo blaza.

Hutaki kula ubwabwa na kuvaa suti

Hayo majukwaa mengine nayapitiaga sema kimya kimya mnoo..labda nilike
 
Hebu fanya fanya basi usinifanyie hivyo blaza.

Hutaki kula ubwabwa na kuvaa suti

Hayo majukwaa mengine nayapitiaga sema kimya kimya mnoo..labda nilike
Jifunze kuyapitia sasa maana inakubidi sasa!..
Ila nawe kule ulinifanyia unyama unyamani..😅
 
Jifunze kuyapitia sasa maana inakubidi sasa!..
Ila nawe kule ulinifanyia unyama unyamani..😅
Nielekeze basi hayo majukwaa nikaweke kambi huko blaza.

Blaza kule ni unyama Kwa kwenda mbele masihara tuyafanyie huku huku
 
Nielekeze basi hayo majukwaa nikaweke kambi huko blaza.

Blaza kule ni unyama Kwa kwenda mbele masihara tuyafanyie huku huku
Kule ni unyama..?? Bladifakini..😂

Location nenda jukwaa la mapenzi kata kushoto halafu dumbukia dubwii utakuja Kuna jiwe pinda upande wa juu utaona bango limeandikwa lavu konekiti Zama ndani.
 
Blaza kumbe unijui ee…
Mdomo wangu unazipu kubwa mno..Ila naona mdomo wako unaonekana ukiguswa tu imo.
Kikubwa nisiwe nimekunywa tu!..😂 tatizo mdomo wangu hauna zipu lakini nikifumbua hauna cha kuongea ubongo hauna ushirikiano na mdomo..🤣
 
Kule ni unyama..?? Bladifakini..😂

Location nenda jukwaa la mapenzi kata kushoto halafu dumbukia dubwii utakuja Kuna jiwe pinda upande wa juu utaona bango limeandikwa lavu konekiti Zama ndani.
Yes ni unyama unyamani 😁😁😁

Kumbe ni kulee..kule hapana kwakweli
 
Kikubwa nisiwe nimekunywa tu!..😂 tatizo mdomo wangu hauna zipu lakini nikifumbua hauna cha kuongea ubongo hauna ushirikiano na mdomo..🤣
Na una habar akili yako si nzuri😀😀😀
 
Back
Top Bottom