Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu fanya fanya basi usinifanyie hivyo blaza.Dada humuhumu utapata we uwe unahudhuria tu au kaanzishe uzi kule love connect sijui.. majukwaa mengine kuyatembelea mpk sijui iweje..🤣
Nataka kusema maneno.🙄 Unataka kusemaje..?
Jifunze kuyapitia sasa maana inakubidi sasa!..Hebu fanya fanya basi usinifanyie hivyo blaza.
Hutaki kula ubwabwa na kuvaa suti
Hayo majukwaa mengine nayapitiaga sema kimya kimya mnoo..labda nilike
Nielekeze basi hayo majukwaa nikaweke kambi huko blaza.Jifunze kuyapitia sasa maana inakubidi sasa!..
Ila nawe kule ulinifanyia unyama unyamani..😅
Nielekeze basi hayo majukwaa nikaweke kambi huko blaza.
Blaza kule ni unyama Kwa kwenda mbele masihara tuyafanyie huku huku
Blaza kumbe unijui ee…Bila kukuwekea mdomo gavana wewe unaweza mwaga mamichele hapa..😂
Wewe umezingatia.Zingatia mada
Atapona tu..
Kule ni unyama..?? Bladifakini..😂Nielekeze basi hayo majukwaa nikaweke kambi huko blaza.
Blaza kule ni unyama Kwa kwenda mbele masihara tuyafanyie huku huku
Kikubwa nisiwe nimekunywa tu!..😂 tatizo mdomo wangu hauna zipu lakini nikifumbua hauna cha kuongea ubongo hauna ushirikiano na mdomo..🤣Blaza kumbe unijui ee…
Mdomo wangu unazipu kubwa mno..Ila naona mdomo wako unaonekana ukiguswa tu imo.
Yes ni unyama unyamani 😁😁😁Kule ni unyama..?? Bladifakini..😂
Location nenda jukwaa la mapenzi kata kushoto halafu dumbukia dubwii utakuja Kuna jiwe pinda upande wa juu utaona bango limeandikwa lavu konekiti Zama ndani.
Na una habar akili yako si nzuri😀😀😀Kikubwa nisiwe nimekunywa tu!..😂 tatizo mdomo wangu hauna zipu lakini nikifumbua hauna cha kuongea ubongo hauna ushirikiano na mdomo..🤣
The Icebreaker nahisi narudi kwenye kujisugua si muda mrefu,uvumilivu unanishindaKwani to yeye anasemaje kuhusu hii thd?
Ndo mana unawazimu proWalikufanyaje..?
Mi kule niliopoaga mzimu..🤣